Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ndugu zanguni mi nimeshangazwa na system ya IFM, kwanza kabisa kusema ukweli sijaona faida ya "PROSPECTUS" kale katabu wanachotoa pale mana hakuna walifuatalo zaidi ya marks na grading tu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
HABARI kwamba idadi ya wanafunzi waliotarajiwa kujiunga na kidato cha tano mwaka huu imepungua kwa zaidi ya asilimia 13 kutokana na ufaulu mdogo wa wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka jana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Inasemekana selections za wanafunzi wanaotaraji kujiunga kidato cha tano April mwaka huu zitatoka siku chache zijazo! Ikumbukwe kwamba ni 12% tu! Ndo wenye sifa ya kuendelea na kidato...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kenyan High Commissioner to Tanzania Mutinda Mutiso has advised the government to use bank institutions in managing students’ loans saying they have more skills and experience in borrowing and...
0 Reactions
0 Replies
645 Views
Baba mkandala najua una majukumu mazito yanayokufanya hata usipate muda wa kutulia na kukikagua chuo(UDSM), Nimeamua nitoe huu waraka wangu kwako ili uweze kuliona na hili. Kero yangu ni suala la...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi sie form five wapya tutaanza shule lini maana npo njia panda
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wenyenchi vp kuhusu ratiba ya msosi minaki?vp bori linachezeka au?vp kwa Pcm ushirikiano upo au mizinguo,naskia maji tatzo vp kuhusu vyoo?
0 Reactions
7 Replies
7K Views
naomba kuuliza kama bodi ya mikopo kwa elimu ya juu (HESLB) huwa inatoa mikopo kwa watu wanaotaka kuchukua Master. Kama wanatoa hiyo mikopo kwa Master je, utaratibu wa ku apply ni sawa na wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
CHUO KINALIPWA PESA NA WATUU HAWASOMI BURE ILA KUTOA PESA YA KUNUNULIA RANGI YA KUPIGA KILA MWAKA WAMESHINDWA? ANGALIA MOJA YA MADARASA YAO HAPO CBE. WHAT A BIG SHAME.o
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Hivi form five tunaoenda government tunaanza lini
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimepata hiv PHY=D CHEM=D BIOS=D MATH=F GEO=C LANG=C CIV =B KISW=D NA HIST =C JE NNAWEZA KUJIUNGA NA CHUO CHOCHOTE KUXOMA COMPUTER SCIENCE COZ NDO ILIKUA NDOTO YNGU NA NDO NA INTEREST NA...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Mie ni mmoja kati ya wanafunzi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari ndugu zanguni mlioko jamvini. Baada ya kutafuta ajira bila mafanikio nimefikia kuanzizisha twishen centre yangu. moja ya resource ninayoitegemea ni past papers za national form two na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Je kuna mtu aliyeisoma sera ya Elimu ya Tz? Je amesoma nini? Tukiwa kijiweni, kuna stori kwamba Tanzania haina sera ya Elimu, je ni kweli? Wasomi na wanaharakati wanahaha kutafuta 'mwarobaini' juu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu,nimechaguliwa kujiunga na D.I.T-Computer Engineering!Ninaomba mnipe faida za kusoma pale tofauti na vyuo vingine vya technology!
0 Reactions
19 Replies
10K Views
Sengerema sekondari ijoke kwa sasa?.Please nisaidie.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habari ndugu zanguni mlioko jamvini. Baada ya kutafuta ajira bila mafanikio nimefikia kuanzizisha twishen centre yangu. moja ya resource ninayoitegemea ni past papers za national form two na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu Walimu, Tafadhali tafuta kitabu tajwa hapo juu kabla wanafunzi wako au wazazi hawajakipata ili kuepuka aibu ya kufundisha vitu vilivyopitwa na wakati. Kimeandikwa na mwandishi nguli wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salamuni wadau na wahusika wengine., Naomba kufahamishwa kama MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2011 yameshatolewa. Tafadhali tujulisheni hapa.
0 Reactions
17 Replies
13K Views
Habari wana jf kwa moyo moja napenda kuungana na waungwana wote wenye mapenzi mema na maadili ya inchi yetu kuwapongeza wana CBE Kwa msimamo wao wa mavazi waliotoa ifahamike ukiitwa msomi siyo tu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…