Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naombeni msaada wadau,nina mtoto wangu amemaliza form 4 na kufaulu masomo ya sayansi ila anataka kusomea uafisa tabibu.Je kwa elim yake ya form 4 anastahili.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hivi karibuni tumeshuhudia jinsi ufaulu wa kidato cha nne( csee 2011) ulivyokuwa duni, mbali na hapo tumekuwa tukishudia jinsi wanafunzi wanaorudia mitihani yao( prvt canddets) wanavyokandamizwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KATIBU Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Dk. Joyce Ndalichako amesema vyeti vya elimu vya Tanzania vitakosa heshima kimataifa endapo suala la udanganyifu wa mitihani litaendelea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani mdogo wangu wa kike amepata Div IV.31 yan mchanganuo ni kama ufuatavyo: Civ-D,Hist-F,Geo-F,Kisw-D,Engl-D,Lit-D,Bio-F and B/math-F. Jamani nisaidieni anaweza fanya nini kwa matokeo hayo?.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wanajamii, mimi nina mdogo wangu wa kiume na kwasasa ana miaka 27. Huyu mdogo wangu alifanya CSEE mwaka 2010 na kupata division IV. Akarudia mwaka 2011 kama Private Candidate na kupata alama...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale walimu woote ngazi ya cheti na stashahada kulikoni hadi leo hakieleweki kuhusu btp nina mdogo yupo chuo huko hadi leo haieleweki kama hiyo btp itakuwe kwa inasemekana serilali haina fedha...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Anaweza pata nafasi private if yes, any idea ya shule..nahitaji msaada wenu mdogo wangu amekwama kielimu..asanteni!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Resonate Consulting Group Limited (RCG) has organized intensive CISA review classes geared toward developing knowledge and practical skills to enable CISA candidates to pass CISA exam to be held...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Pata historia ya mtemi milambo wa tabora MJUE MTEMI MILAMBO | Tesdo
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Heshima wakuu.... Ninayo admission ya masters katika chuo cha kilimo SUA Morogoro. Tatizo ni kuwa nimekosa scholarships. Naombeni msaada wa taarifa ni namna gani naweza kupata scholarship kwa...
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Huu ni ubinafsi au ufisadi? Watoto wa vigogo kama marais, mawaziri, majaji, wabunge nk kupata mikopo halafu washindwe kuirudisha kwa wakati! Watoto hawa wa vigogo kupewa mikopo wakati watoto wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba msaada wandugu. Natafuta shule NZURI ya private yenye masomo ya science (PCB &CBG) kwa A'level katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, na Tanga.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
http://196.44.162.33/necta2011/CSEE%202011/s1513.htm CNO SEX CANDIDATE NAME AGGT DIV DETAILED SUBJECTS S1513/0001 F AGRIPINA ALEX MASSAWE 26 IV CIV-C HIST-D GEO-D KISW-D...
7 Reactions
26 Replies
4K Views
naomba kama kuna mwanaJF yoyote anayefahamu namna ya kupata past papers za somo la Kiingereza csee. Kwa anayefahamu au aliyenazo (za miaka yoyote nyuma mpaka kufikia 2011) naomba aniPM tafadhali.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Yah: UTAMBULISHO WA CHUO - MUST COLLEGE Mugerezi Spatial Technologies – MUST College ni Chuo kilichosajiliwa na VETA na kinatoa masomo ya mwaka mmoja katika fani mpya ya “Spatial Information...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shule nyingi za Zanzibar zimepewa alama ya W. kwa mfano S3000 MAZIZINI ISLAMIC SECONDARY SCHOOL DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 1 DIV-IV = 0 FLD = 0 . hawa ni zaidi ya wanafunzi 51...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Shule nyingi za Zanzibar zimepewa alama ya W. kwa mfano S3000 MAZIZINI ISLAMIC SECONDARY SCHOOL DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 1 DIV-IV = 0 FLD = 0 . hawa ni zaidi ya wanafunzi 51...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hv hz shule za kata zilianzishwa lengo likiwa nini?maana asilimia 99.9 wanaomaliza wana div 4,wengi wao ni ziro.sasa zilijengwa kwa ajil ya kukuza watoto?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni mjasiriamali mdogo najishughulisha na ufugaji wa kuku. Je kuna mtaalamu anayeweza kunisaidia Tiba za dawa za asili au tiba mbadala kama kiswahili cha sasa kinavyosema kwa ajili ya kuku?
0 Reactions
2 Replies
877 Views
Wadau, habari zenu hapa jamvini.... mnamo tarehe 03 feb 2012, majira ya saa 10 jioni, shule ya sekondari mnacho iliyoko wilayani Ruangwa mkoani Lindi ilikumbwa na balaa la kimbuga lililoendana...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom