Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Waungwana Habari! Nina kijana wangu (Male) amemaliza form four mwaka huu na kapata kama ifuatavyo Civ = B Hist = C Geog = C Kisw = C Engl = C Bio = D Comm = D B/Keep = D B/Math = F Nataka...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hivi imekaeje hii? Feza Secondary na shule zetu za kata kupewa mtihani mmoja? Wakati Feza Sec inakila kitu, walimu wazuri, vitendea kazi, ni haki kweli? Haya na hili la secondary za serikali...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mbunge wa Ukonga (CCM), Eugen Mwaiposa, ameitaka Serikali kuwapima akili watahiniwa wa kidato cha nne waliaondika matusi na nyimbo za bongo fleva katika karatasi za majibu ya mitihani yao ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hallo Friends. I would like to study in China this year, any assistance on scholarship?? where can i get scholarships? I am will, i will be more thankful for any assistance. Thanks
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha iaa (institute of accountancy arusha) BEF (bachelor of economics and finance) first year, naombeni ushauri sijui baada ya kumaliza chuo ntafanya wapi kazi na pia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunalaumu sana kuhusiana na matokeo ya kidato cha nne, tunasahau pia na wanafunzi siku hizi wanajiachia sana. Asilimia kubwa ya waliofeli ni kutokana na ujinga wao na uhuru mkubwa walioachiwa...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Nimefuatwa na ndugu yangu mmoja mabaye amefanikiwa kuwa-shortlisted kwa ajili ya dinner interview baada ya kufanikiwa kwenye written na oral interview. Binafsi sikuwahi kupita ktk mchakato huu...
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Mwenye CBG anaweza kusoma degree ya Nursing, Vet. Medicine,Human Nutrition,...... Wanaiita comb.ya kike,ina Biology ambayo kidogo ni ngumu kumeza...endeleza maoni wana JF.
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Kwerekwekwe msumeno.....Kukata ni kazi yake Kibogoyo aso meno.....Muhogo adhabu kwake Malenga nna kineno.....Nipeni upeo wake KILA TAWI NSHIKALO.....MWENZENU LANITELEZA Nilikua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matokeo ya kidato cha nne hayakua mazuri ila nina B-english,C-kiswahili na C-biology.Niko tayari kwa shule yenye nafasi nzuri yenye kufaulisha wanafunzi wa kidato cha sita na yenye mazingira...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Katibu mtendaji mkuu wa baraza hilo Dr Joyce Ndalichako amesema mmoja kati ya wanafunzi waliofanya mtihani huo alifikia hatua ya kuandika mashairi ya bongo fleva baada ya kukosa cha kujibu...
1 Reactions
90 Replies
13K Views
  • Closed
..nilikuwa kule mzalendo.net nikakutana na malalamiko ya waZNZ kuhusu matokeo ya form 4. Yakhe nimepigwa na bumbuwazi. Sijui niseme nini kuhusu kufelishwa (KUFELISHWA0 vijana wetu, watoto wetu...
0 Reactions
25 Replies
11K Views
Serikali inavuna ilichopanda, maziro matupu! kwenda ngazi za juu inachuma ambacho haikupanda! Wizi mtupu.!
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Nipo njia panda, nafikiria kusoma post graduate, naomba ushauri kati ya finance na procurement, ipi soko lake la ajira ni kubwa? help please wana jf....
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hili dogo sasa baada ya kupata div IV 27, Phy D bio C chem D kis D maths D geo D eng F His F Civ D NINALIAMBIA LIENDE NURSING LINAGOMA kuhusu kurisi linasema angalau, sasa hv mtu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Tz kuna shule nyingi ambazo ni rafiki na Mazingira kama hizi ,:lol:
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Shule ya sekondari mnacho iliyopo wilayani Ruangwa mkoani Lindi, inahitaji msaada wa haraka ili kuwasaidia wanafunzi wanaosoma kwa shifti kutokana na balaa la kimbuga kilichoikumba shule hiyo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jaribu kupitia nakala hii inayoainisha baadhi ya mambo ambayo kama yatafanywa ndani ya udsm, migomo itakoma.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza ninaweza kulishinda baraza la mitihani NACTE mahakamani. Nia ya mashataka yangu ni kutaka Mahakama kuu iruhusu mitihani yangu kusainishwa Upya kuupita Externa examiner. Sababu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Dharau aliyoonyesha afisa elmu, almanusura imtokee puani, baada ya kutaka kuwalipa walimu hela ya siku3 kujikimu,baada ya siku7. Walimu wote walgoma kuichukua..... "msimamo na umoja ndo nguzo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom