Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hivi jamani TZ kuna e learning? Km ipo ni wapi wanasomesha? Na vp utambulisho wake, inatmbuliwa na waajiri na serikali?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
WHO SAID SHULE ZA KATA EDUCATION WASN'T GOOD FOR US? From one of Irina secondary School, English teacher: "The girl goes to school, goesn't she? From Brits, somewhere in one of...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta chuo cha kinachotoa medical laboratory na clinical assistance kwa Dar es salaam ambacho kinatoa cheti na diploma. Anayejua anijuze tafadhari
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Hivi wakuu,wale mliomaliza hizo kozi nilizozitaja hapo juu,soko la ajira likoje kwa sasa hapa nchini? Rate ya mishahara inaendaje pia kwa wenye hizo bachelors...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Wana jf nimeiona shule ya mnazi mmoja-kichangani sumbawanga ktk tbc1 habari,kama kweli jk ni rais wa tanzania naomba aende huko rukwa akajionee kama kuna sababu ya kusherehekea miaka 50 ya uhuru...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wandugu wa Jukwaa la Elimu, nimeona niwasilishe hili kutokana na mijadala isiyo na tija ambayo tunaianzisha kwenye hili jukwaa. Naamini jamii-forum, especially hili jukwaa lilianzishwa kwa ajili...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa wale wapenda shule changamkia scholarships hizo haraka sana kama GPA yako inaruhusu. MSc. Petroleum Engineering and MSc. Petroleum Geoscience. Kazi zake zimejaa kibao hakuna watu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jaman polen nakaz kwa wale waliobahatika kuajiliwa.na wale ambao wamejiajir.kwa wale wezangu na mimi 2naosoma kama mimi 2kazana one day yes----kuna ki2 kimoja kinanisumbua sana kichwani mwangu.why...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Study Subject(s): Effect of Uranium Contamination in Selected Tanzanian Agricultural Soils and its Transfer in Food Chains Course Level: Masters Scholarship Provider: RUFORUM Scholarship can...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wasomi wanatakiwa wawe wavumbuzi na wajenzi wa uchumi, kwa mfano ukisoma jinsi ndege ilivyovumbuliwa utashangaa, ilianza mwaka 1799-1913. Kila mvumbuzi alikuwa anajitahidi kufanya kitu, anakata...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau,kutokana na ada pamoja na michango mingne inayotozwa na hvo vyuo imenifanya niulze kama hvo vyuo ni vya umma au binafsi,na kuna nin cha ziada wanafunzi wanachokipata hapo hadi watoze ada...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
jmani kuna jambo linanisumbua, suala lenyewe ni kwamba kuna mwanamke mjamzito alikuwa anasafiri kwa ndege kutoka fillipenes kwenda marekani. kilichotokea ni kwamba ndege ilipokuwa katika ang ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa wale wanavyuo vikuu ambao mshapata mkopo wa mwaka huu yaan boom jipya la 7500. Hivi ni tsh ngapi 2napata ktk awamu hii ya 1?
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Ntatafuta kozi ya computer hapo dares-salaam pamoja na driving lessons hivi karibuni nikija.nasikia zipo nyingi lakini waswahili wanasema "penye wengi apakosi mchawi".hivyo basi naombeni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wana jukwaa hili la elimu ningependa wote tuige mfano wa hivi vyuo hapa Tanzania ambavyo havijihusishi katika kunadi uwezo wa vyuo vyao huku wahitimu wao waking'ara kitaifa na kimataifa katika...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Wanajukwaa hili la elimu ningependa tujadili sababu ya chuo kikuu mlimani kushusha cut-off point(kiwango cha chini kabisa kuingia chuo) katika miaka ya hivi karibuni na mpaka hivi sasa madaraja ya...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Taasisi ya taaluma za kiswahili ya udsm yazindua programu ya kamusi ya kiswahili itakayopatikana kwenye simu. Chanzo: TBC taifa
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana jf nimepata mfadhili wa kunilipia masters degree,mi nimemaliza advance diploma in accountancy pale TIA,ningependa kusome MBA ya finance,accounts au marketing,naomba ushauri ni chuo gan...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Data zinaonyesha 2005_2007,idadi ya watanzania waliohitimu vyuo walikua 0.003%,wakati kenya ilikua 6%.Nahitaji kuju za kuanzia 2008 tafadhali naombeni mnipe data.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wadau wa elimu naombeni mnisaidie katika hili vyuo vya ushirika kama vile moshi cooperative kinatoa course zipi?
0 Reactions
6 Replies
13K Views
Back
Top Bottom