Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

jana gazeti la mwananchi 21/09/2011 lilitoa tangazo kutoka bodi ya mikopo kwamba kuna vyuo havijapeleka matokeo na maendeleo ya wanafunzi hivyo basi wanafunzi wake watachelewa kupata mkapa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mpaka hv sasa wanafunzi walioomba mkopo kwa kutumia matokeo ya equivalent ktk chuo fulani hawajapata mkopo. Cjui na ww pia u-mmoja wao/unajua chuo kingine au la! Je, unafikiri ni nini tatizo au ni...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
<p>Tunaomba kujuwa kubadirika kwa taratibu za usimamizi wa mitihani. Tangu lini maafisa wa elimu shule ya msingi, wakaguzi, na wale wa elimu ya watu wazima wameruhusiwa kusimamia mitihani ya...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari za shughuli wana jf.Kuna kijana mmoja mkazi wa Kigoma amenitumia sms alitaka kujua je admission letters kwa undergraduate 2011/2012 udom zimeshatoka, na kama tayari je utaratibu wa kuzipata...
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Wana JF Naomba kufahamu kama kuna anaye jua Tanzania ina Branch ya vyuo vikuu vingapi hapa africa.
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Baada ya serikali kukaaa na wanayoita bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu wameamua kuwatosa vijana wenye sifa linganishi kupata mikopo kwa kutoa sababu ambazo hazina mpango wowote, kwani...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Kuna ki2 kimenishtua leo eti kuna DEGREE ZA CHUPI kwa wadada!!? Unaenda chuo miaka 3 au 4, unawavulia wahadhiri chupi wanakupa marks za bure. Sasa huyu m2 anaenda kufanyaje kazi au atamvulia na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hili swala la watanzania wengi kukimbia masomo ya science inamaanisha wengi hatujiwezi kuyamudu ni magumu sana au ni mfumo wa Mitaala yetu ya Tanzania ndiyo inasababisha! Kwa hili kama mzalendo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tetesi toka Mabibo hostel. Kundi la wanaharakati wametoka mikoani kwa jili ya kutetea first yearz 1600 waliokosa mkopo first year mtaokuja UDSM mjipange Kunji
1 Reactions
11 Replies
2K Views
kuna swala linaleta tatizo hivi kuna tofaut gani kati ya institute na university coz kuna information nimesoma zinasema kua unapograduate ktk institute unapotaka kusoma masters lazima ufanye...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
ICT4TD Learning Centre ni centre ambayo imejikita zaidi katika maswala ya kuelimisha jamii hasa vijana katika maswala yanayohusiana na Technohama kwa ujumla.Centre hii imebase zaidi katika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Board ya mikopo inafanya kosa kubwa sana, inaingia mikataba na wanafunzi, fedha zinapitia kwa chuo kumfikia mwanafunzi. Kinachotokea ni hata wanafunzi wanasaini kiasi ambacho kikilipwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
khan academy.org academic earh .org Toorent number moja Kwa vitabu video na lecture mbali mbali mbali Khan avcademy inawfaaa wanafuzi wa sekodary Academic earh wa vyuo Torrent hiyo ndio kila kitu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari zenu wana ukumbi wa JF. Mimi jana nimepata habari za mshtuko kuhusiana na NACTE. kuna wanafunzi wameapply degree ktk baadhi ya vyuo visiwani zanzibar lakini kwa bahati mbaya wamekosa. na...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Nilijaza form za Massters (MSC.IT) application pale IFM August mwaka huu kwa ajili ya kuanza masomo January 2012. Kuna mtu yeyote anayejua matokeo yanatoka lini? Niko mikoani na sioni contact to...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
The List of Selected and Unselected Applicants from Second Round Applications
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hatimaye vifijo, nderemo pamoja na simsnzi vyatua kwenye viwanja vya SUA, Swala hilo limejitokeza baada ya matokeo ya University Examination (UE) kutolewa kwenye mbao za matangazo huku vijana...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
Salaams, Naomba/natafuta mwalimu wa Tally 09 Accounting package, wa kunifundisha privately hapa Dar es Salaam. Naombeni contact; simu au email. Ahsanteni sana. Edylux
0 Reactions
17 Replies
2K Views
How To Tell If Your Woman Cheats And Her Other, Dirty Little Secrets...Is your woman cheating on you? Is she thinking about it? Is she living a secret, double life where she meets up with men for...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Majina yapo katika makundi mawili 1. Wale ambao hawajachaguliwa chuo chochote 2.wale waliochaguliwa
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Back
Top Bottom