Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wana jf naomba mwenye details kuhusiana na title above!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES UGHAIBUNI Habari zenu ndugu wadau Ni matumaini yangu mu wazima wa afya na familia zenu. Nina tangazo la kuwasaidia watu kuhusu mambo ya elimu ya juu na udhamini wa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari zenu JF!naomba kuuliza jamani,mwenye ufahamu kuhusu application za diploma ktk fani za afya kupitia wizara ya afya zinatoka lini na je kama mtu atachaguliwa kusomea clinical officer(tabibu)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu JF!naomba kuuliza jamani,mwenye ufahamu kuhusu application za diploma ktk fani za afya kupitia wizara ya afya zinatoka lini na je kama mtu atachaguliwa kusomea clinical officer(tabibu)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Malalamiko kutoka kwa Wanafunzi Urusi… Tafadhali tunaomba utusaidie kutufukishia ujumbe wetu kwa Serikali .Sisi wanafunzi tunaosoma ,Urusi tumekuwa tunaonewa sana na Bodi ya Mikopo.Kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wadau? Nimepoteza cheti cha kuzaliwa ambacho nilikipata huko Mbeya. Kwa sasa nipo DSM, Naomba yeyote anayejua utaratibu wa kupata kingine anijulishe.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
TEOFILO KISANJI UNIVERSITY - TEKU http://www.mum.ac.tz/files/SELECTED_CANDIDATES_2011-2012.pdf TCU nini kinaendelea. People want to make decisions now
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Udsm enzi zenu ziliisha isha Hacheni UDOM,iitwe Udom,kadri siku zinavyo pita hadi mtasahaurika,ila msijari.
0 Reactions
156 Replies
17K Views
Wadau vijana mtaani wamechoka kuingia internet na kila siku wanakosa taarifa sahii za tcu,hebu wenye tarifa semeni kuna nini tcu kiasi kwamba leo hii zimebaki takribani siku 30 tyu vyuuo...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tiba kishiriki cha Tumaini (KCMC) wamekuwa katika kipindi kigumu cha masomo yao, hasa wakati huu wanapokaribia kufanya mitihani kutokana na kushindwa kumaliza kiasi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
hawa wadudu wanauzwa sana njiani dsm. Wana faida gani kiafya?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu mabibi na mabwana,ninamdogo wangu wa kike kahitimu form four ana Div four ya point 27 namtafutia nafasi ya kusoma (Chuo) hasa hasa Nursing,Kilimo or Teaching vyenye ada dogo kuanzia...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
ili kuboresha kiwango cha elimuhapa nchini nashauri serikali kuanza mpango maalumu wa kufanya baathi ya shule za kata kua za kiwilaya, kimkoa na kitaifa kila mwaka.Mpango huu utakua na faida...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika kikao cha Bunge kinachoendelea Dodoma kuna Mbunge mmoja alizungumzia tetesi kuwa Serikali imeamua kuanzia mwaka huu (2011) mtihani wa Hisabati wa Darasa la Saba utakuwa wa Multiple choice...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Yatatoka lini?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimekuwa nikiona baadhi ya maneno humu JF kwenye post za watu lkn sijui maana yake hivi maneno kama "like" au "REP POWER" yana maana gani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tcu
Jamani wanajamii hivi matokeo ya selection ya vyuo vikuu vya Tanzania wametoa ama mpaka nac wahtimu wa fom siksi tuandamane??
2 Reactions
140 Replies
16K Views
Wanachama wa CCM vyuo vikuu, msingepata elimu hiyo mgekuwa watu wa namna gani ? Pamoja na kuwa na elimu ya chuo kikuu bado mnashabikia mafisadi ndani nchi hii. Uwepo wenu hapa Tz hauna mantiki...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni jambo la kusikitisha sana kuona somo la Jiografia linazidi kufanya vibaya pamoja na umuhimu wake. Kuna mambo mengi yanayochangia kufanya vibaya kwa somo hili na wadau wamekaa kimya katika taifa...
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Back
Top Bottom