Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

wanafunzi wa chuo cha Uhasibu Tanzania leo wameiburuza mahakamani tume ya uchaguzi na Spika wao huku wakimtuhumu kuvunja katiba ya serikali yao kwa kuunda tume kinyume na katiba. Pia wameishitaki...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Racism is the belief that there are inherent differences in people's traits and capacities that are entirely due to their race, however defined, and that, as a consequence, justify the different...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mambo vp! Wadau wote wa jf naomba mnisaidie kunipa taarifa chuo kinachotoa diploma in education & admnistration ambacho ninaweza kupata nafasi kwa sasa niweze kuapply au diploma in computer...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
What are methods of semen collection in cattle?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jaman kunauchakachuaji umetokea ktk uchaguzi wa rais wa daruso rais aliechaguliwa hatakiwi na wanachuo,wanachuo wanampango wa kuandamana wanataka katiba ibadilishwe na wafanye uchaguzi tena
0 Reactions
23 Replies
3K Views
...jamani kuna JF member yeyote anayeenda Antwerp ama mji wowote Belguim for studies? Tafadhali kama hutajali ni PM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo siku ya tatu college nzima education hamna maji. Hii noma.
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Salama wandugu, Eti mimi najiuliza kama JK na Mrema wametunukiwa Phd za heshima then why not REV MASAPILA?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
WanaJF, heshima mbele! Kuna hii kitu naiadmire sana, ni kuhusu Fuzzy Logic Controller nimejaribu kuisoma muda lakini nakosa vitu kama reference za kutosha kwani nasoma mwenyewe. Kwa hiyo, kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
ni kiwa kama mdau na mwanamapinduzi katika sekta ya elimu sioni sababu ya wanafunzi wa art kwa O-level kusoma biology kwani ukiangalia kwa kiasi kikubwa asilimia 75 ya wanafunzi Tanzania hawana...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mhe. Waziri Mkuu Peter Mizengo Pinda, Tunaomba kuanza kwa kukupa pole kwa majukumu mazito uliyo nayo katika ujenzi wa taifa letu. Pia tunakupongeza kwa uimara na ushupavu wako katika kusimamia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The Islamic World (57 countries) has got only 500 universities, India has got , 8407, followed by the US with 5758. The figures were published by Hafez Mohamed, CEO of the Al Baraka Bank in...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimesikia leo katika uchambuzi wa magazeti.. Jeshi linadai limepata dawa ya migomo, nayo ni kupita JKT kabla ya kuingia elimu ya juu. Maswali 1. Hivi hawa wamefanya utafiti na kugundua tatizo la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau naomba mnisaidie ujuzi wa kilimo cha kisasa cha biringanya.
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Fredy Azzah MWENYEKITI wa Umoja wa Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni zilizopo nchini, Ali Mufuruki amesema vijana wengi wanaomaliza vyuo vikuu mbalimbali nchini, wanashindwa kupata ajira kwa kuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani ndugu zanguni salaam. Mpendwa wenu nimekwama ada, natamani kusoma na nia ninayo, ila tatizo ni mfumo uliopo. Naomba nikipata mfadhili akalipe moja kwa moja chuo kikuu cha elimu ya watu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Katika kuelekea uchaguzi mkuu wa Daruso, silaha kubwa ya kumalizana imekuwa ni kuhusisha wagombea fulani na U-CCM. Inaonekana wazi kwamba katika siasa za vyuo hasa UDSM ni usaliti na kukosa uzalendo.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
aliyekuwa mhadhiri katika chuo kikuu cha Arusha mpiganaji Dadi Igogo amefukuzwa kazi katika chuo kikuu cha arusha kwa kuhusishwa na siasa chuoni hapo. 
0 Reactions
17 Replies
2K Views
HELLO GUYS!! information for dearest students, or anyone who aspires to new challenges in life....... I AM RELATIVELY NEW AT THIS FORUM AND THE MAIN REASON I AM HERE IS TO ENLIGHT SOME...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Chuo kikuu cha mtakatifu Agostino Tanzania (SAUT) cha jijini mwanza, jana kilianza kutekeleza utaratibu wake mpya kuhusu mavazi kwa wanafunzi wake, ambapo wanafunzi wa kike hawatakiwi kuvaa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…