Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hali ya mikopo imechukua sura mpya.wanafunzi wamebandikwa madeni bodi inadai bajeti imeshapita.lakini fedha za wanafunz hazikulipwa.wanafunzi wanaelekea bodi sasa kuomba ufafanuzi.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu waislamu,sasa nimeona tumeanza kuamka kielimu na kiutambuzi, sasa tuna vyuo vikuu vitatu vya kiislamu na lengo letu ifikapo mwaka 2016 tutakuo na vyuo vikuu 13 kuna viwanja vimeshaanza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
LINK:: Clouds FM
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Wana JF tuchemshe bongo kidogo kwa kuulizana maswali. Naanza kwa kuuliza: Je Mtaa wa Rufita (Rufita Street) ulipata umaarufu katika kitabu gani? Mwandishi wa kitabu hicho alikuwa ni nani?
0 Reactions
18 Replies
5K Views
:glasses-nerdy: hey guys whatch out b`se it seems many p`ple escapes the science subjects,how shall we get the doctors etc.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wana JF naombeni ushauri kuhusiana na hizi course za ABE ( association of business executives) na jinsi gani zinavyoweza kuapply katika soko la ajira. Najaribu kufanya utaratibu wa kujiunga ili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, Kama kuna anaejua ofisi hapa bongo inayoweza kuhangaika kwa niaba yangu kutafuta scholarship na ni ilipe anisaidie kwa PM please, maana naona kazi!
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wadau? mimi ni mwandishi wa vitabu naomba yeyote mwenye mawasiliano ya Ndanda Publication anisaidie na shida sana na mawasiliano yao. Nikipata namba zao za mkononi(meneja) ndo itakuwa safi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamiiforum nisaidien jins ya kupata sponsership ya MA.Thax.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Serikali Kufupisha Miaka Ya Kusoma; Kupatia Chakula Serikali imesema iko katika mchakato wa kuandaa Sera Mpya Elimu itakayofupisha muda wa kusoma. Sera hiyo mpya inapendekeaza muda wa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Warudia darasa kukwepa shule za kata Na Theonestina Juma,Bukoba BAADHI ya wanafunzi waliofaulu kujiunga na elimu ya sekondari wilayani Chato mwaka huu wamelazimika kurudia darasa la saba...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Walimu 40 katika wilaya ya sumbawanga 'wameingia mitini' huku wengine 50 wakiingia kwenye mgomo usio na kikomo wakiishinikiza halmashauri kuwalipa mishahara pamoja na madai mbalimbali wanayodai...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
YouTube - ‪G Craige Lewis "Teen Dating Boyfriends & Girlfriends"‬‏ YouTube - ‪G. Craige Lewis - Teen Dating is Roulette‬‏
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tukumbushane machache wazee wa umbwe sec.school a.k.a mti safi, Napenda kujua wapi teacher mallya,lollo,msele,maridadi,.....naomba tujuzane wazee wa fongo .............Gonna are the dayz we...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mi ni kijana nimemaliza form six mwaka huu na kupata div 2 ya point kumi malengo yangu ni kusomea 'aeronautical engineering' au mambo ya 'pillot' nlikua nachkua pcm.. je ni vipi naweza kupata chuo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamvi naomba kujulishwa shule ya awali ya kumpeleka mtoto wa miaka kati ya 2-3 mtoto anaishi maenoeo ya tegeta na itapendeza kama atapata shule maeneo ya karibu .
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba wajuzi mnijuze, ni vp naweza tengeneza Letter Head ya kibiashara changu, nataka niweke na log katika letter head hiyo. Naomba msaada wenu. Nawasilisha, Asante
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau mimi ni mtumishi ktk kampuni flani lakini ningependa kusomea IT japo diploma ila kwa distance learning maana nikiacha kibarua hali yangu itakuwa ngumu mwenye uzoefu anisaidie niweze kusoma...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi nashangazwa na Manispaa ya Tabora Kupitia kwa Mkurugenzi na Afisa elimu idara ya sekondari, kwa kuamua kwa makusudi kabisa kutotenga fungu la kusomesha walimu kwenye budget, eti kwamba...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapendwa wadau wa Elimu JF, Inasemekana kuwa serikali kupitia Wwizara yake ya Elimu, imeamua kuwa mtihani wa Hisabati darasa la saba mwaka huu utakuwa na maswali yote ya kuchagua...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom