Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani jamani nani atasaidia wanafunzi ktk chuo kikuu cha Tumaini kampasi ya Kurasini? Tusikimbilie neno UDINI. Mazingira ya kusomea ni mabaya sana hasa jioni. Ni vurugu mechi, kuna kwaya ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Learn science online with At Home Tuition get ahead. We offer a variety of programs concerning science, including physics, chemistry, and biology as well as more specialized courses. We provide...
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Hivi sasa wanafunzi wa UDSM Campus ya Mlimani wameanza mchakato wa mgomo.Sasa wapo chini ya Jengo la Utawala wakisoma maazimio yao.Wanapanga kwenda Bodi ya Mikopo kesho.......
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tcu
Sorry waungwana nilikuwa napenda kufahamu idadi ya vyuo ambavyo mwanafunzi anayejiunga na chuo kikuu mwaka 2011/2012 anapaswa kuchagua?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
NAOMBENI MSAADA JAMANI!Nataka kurudia mtihani wa kidato cha SITA february 2011 kwa Combination ya HKL.Kwa kuwa SILABASI zimebadilika naomba nitajiwe mada zinazotakiwa kusomwa katika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Nisaidieni Hivi hizi status za TCU registration zina maana gani? mf. Udsm/Sua ( Accredited and Chartered), Tumaini Moshi (Accredited), Mzumbe (Full Registration and Chartered)...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ktk chuo kikuu cha dodoma kunaendelea kampeni za kumchagua raisi wa chuo ila imeonekana wazi serikali kupitia uongozi wa juu wa chuo kuwaweka watu wao wanawowataka wao kwani Abubakary Bashe...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
wana JF ninamaliza Masomo mwezi wa7.Ba.Ed. Natafuta shule ya private.ni mtaalam wa English language na English Literature.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mabadiliko ya jinsi ya ujazaji wa form za mikopo kutoka HESLB ni wa kisiasa tupu, watu wenyewe walio wekwa kwenye help desk na hawapokei simu. Zinaita mpaka zinakata, na sometimes hazipatikani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wadau av tried to search kene net but cjazipata, nimepata 3 tu! i think shule za kata hazipatikaniki kwenye net coz nying ni mpya,hazina hata form4 walomaliza. naomba anayezifahamu anitupie...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
wana JF mimi nimemaliza form 6 HKL na nimepata division 1 point 9 yaani CCC naombeni mnishauri nikasome kozi gani yenye soko hapa tz maana sitaki kumaliza chuo then nigange njaa mtaani na kisomo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
I'm a form six graduate and i had been expecting to study law and later become an advocate. But the problem arising now is that i got 2point 10 which is not acceptable for law in most...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
hi m looking for...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi; Naomba kufahamu application kwa vyuo vyenye kozi za medical ofiicers hufanyika wakati gani? Na je, hufanyika wizara ya Afya au kwenye chuo husika? Vyuo kama KCMC, BUGANDO na...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Mgombea uongozi serikali ya wanachuo UDOM kutoka Social campus ambaye ni mdogo wa Hussein Bashe, ametimuliwa na wanachuo kitivo cha elimu na kushindwa kumalizia 'speech' yake. Amelazimika kupanda...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
tunaangalia uwezekano wa kwenda kuuzuia uchaguzi wote wa udoso na college zake mahakamani siku yoyote kuanzia kesho kutokana na sababu zifuatazo 1.college of informatic imefungwa hivyo watu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana jf mimi nimemaliza form 6 na nimefanya mtihani kama private candidate na nimepat div 4.18 sijui nifanyeje nilisoma HGK yaan FSE Ndo nimepata, naomba mnisaidie kutafuta vyuo vya diploma na...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Aslaam alaykum wana Jamvi wa Jf. Nahitaji kujiunga katika ulimwengu wa elimu ya juu kwa mwaka 2011-2012. Naomba mnishauri ni some fani ipi na katika chuo gani kulingana na pass mark zangu za...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Wajemeni wasomi wenzangu na hasa wale wakokotoaji naombeni mnasaidie hili tatizo hapa. Kuna majibu mangapi katika swali hili? (√16-√9).naomba mnionyeshe cause nimebishana sana na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mi mdogo wenu ndo nimehitimu kidato cha sita na matokeo yangu ni Physics-E,Chem-E,Biology-D,BAM-S and GS-S. Tangu mwanzo nimekuwa nikipendelea kusoma INFORMATION TECHNOLOGY. Swali langu wana jf ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom