Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

SALAM KWA WOTE, me nimwanafunzi wa ba (economics) natamani na napenda kusoma short course za computer kama vp networking au oracle, vp wezangu imekaa poa au nakosea?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi nipo form 5 mbezi beach nachukua comb ya ECA naombeni ushauri nifanye nin ili nipas at higher level
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Toka jana naona page ya registration haifunguki kabisa!...system zenu zimezidiwa ama?..au ni kwangu tu? Kuna ndugu zangu wametoka mashambani kuja kujisajili, siku ya pili sasa!!!!!....huu utata.
0 Reactions
0 Replies
964 Views
........Awali ya yote napenda kutoa pole kwa wanafunzi 27 wa chuo cha elimu ya kompyuta katika chuo kikuu cha Dodoma kwa kusimamishwa masomo ambako kwa hali inavyoelekea ni kufukuzwa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nashindwa kuelewa kwanini shule za serikali kwa upande wa advance wanafanya vizuri lakini o'level wanavurunda!!!!! naombeni mawazo yenu wana jamii
0 Reactions
2 Replies
839 Views
Kama ilivyokawaida kwa baadhi ya vyuo hapa tz juu ya utoaji wa shahada za sheria kwa miaka 3,Hii ni tofauti kidogo na vyuo vingine vingi vinavyotoa shahada kama hiyo kwa miaka minne.So ningependa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana!jaman,kama tittle ya hii thread inavosomeka hapo juu,ni mara nyngine naomba kujuzwa tofaut zlzopo kati ya BA-ECO inayotolewa 'udsm' na Bs agro-eco inayotolewa na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wadau wa elimu, nimekuwa nikifikiria namna ya kusaidiana kupanua wigo wa uelewa wetu kupitia 'general questions' au quiz. Nadhani mtapenda kama ninavyopenda. Nawaalika wote wenye maswali...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Manispaa Moshi kuwalipia ada wanafunzi wote na Grace Macha na Rodrick Mushi, Moshi BARAZA la Madiwani wa Halmashauri...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Madai ya Chuo Kikuu cha Dodoma naweza kusema ni sawa mafisadi wanaotafuta njia za mkato kujinufaisha katika maisha yao. Haiingii akilini mwangu na sioni msukumo wa kudai kila mwanachuo apate...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
SHULE za Sekondari za Serikali zimeng’ara katika matokeo ya Kidato cha sita mwaka 2011 baada ya wanafunzi wake saba kuwa miongoni mwa wanafunzi kumi bora kitaifa.Kwa mujibu wa matokeo hayo...
1 Reactions
10 Replies
6K Views
imefika wakati wasomi, wanasiasa machachari na wanaharakati na wale wenye uchungu na kisiwa cha zanzibar kuangalia swala zima la baraza la mitihani la taifa. Elimu ndio msingi wa maisha, elimu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
sheria zaanza kutumika UDOM, college of informatics and virtual education imefungwa rasmi baaada ya wanafunzi wake kuendelea na mgomo kwa zaidi ya siku 3 mfululizo, na hivi sasa wanafunzi...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
kusema kweli kilichotokea koleji ya kitivo cha sayansi ya mawasiliano chuo kikuu cha dodoma ni matokeo ya masilai ya watu wachache cha kuchakachua fedha za watoto wa walala hoi wa kitanzania,kwani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
http://196.44.162.25/necta2011/Alevel.htm http://www.necta.go.tz/2011/alevel2011.htm http://196.44.162.33/necta2011/Alevel.htm
1 Reactions
21 Replies
18K Views
nina dogo amemaliza form six 2011 atokeo yametoka amefaulu pcm division 1.5 sasa anaomba ushuri yeye anapenda kusoma telecoms eng. Mimi ningependa asome electrical engineer kwa sababu chahe...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakati unaendelea na siasa bofya hapa upate habari kamili: http://www.mwananchi.co.tz/ http://196.44.162.25/necta2011/Alevel.htm
0 Reactions
0 Replies
12K Views
Nina ndugu zangu nimewashauri wasomee masuala ya healthcare ili kupata ajira kwa urahisi sasa naomba mwenye kujua vyuo vya private na serikali vyenye kozi fupi za mwaka mmoja hivi au miwili na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Feza boys hainaga masifa na promo kihiiivyo ila mambo yao nima aisee...embu ichek kwenye results za form6 this year yaan ni noma
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanafunzi 27 wamefukuzwa chuo kikuu dodoma ndani ya siku 2,hii ni kutokana na wanafunz hao kudai special fucult requirement,tena wamefukuzwa under police escot km mbwa.Nionacho mimi chuo kikuu...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Back
Top Bottom