Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

1. Kwa miezi minane sasa CKHT hakijapewa fungu lake la OC kutoka serikalini (HATA SENTI TANO!) Hali hii imesababisha shughuli za kawaida za chuo kukwama. (Makamu Mkuu wa Chuo akiongea na wanachuo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
WADAU, katika pilikapilika za maisha, nimemefanyikiwa kupita kwenye University ya MACMASTER (ON-Canada). Kwenye Library yao ya Health Science nimekutana na kibao chenye ujumbe ufuatao: THE CLASS...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Siasa ni mdudu ambaye kwa namna moja au nyingine amechangia kuitafuna elimu yetu hasa nyakati hizi za usono
0 Reactions
0 Replies
4K Views
habari zenu wana jf,eti hyo fild kwa hapa kwe2 tanzania ni mpya na inalipa kweli?as nimeiona inatolewa na chuo kimoja tu hapa tz ambacho ni taasisi ya uchukuz pale dar.naomben maelezo yenu.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Kuna centre yoyote au chuo wanachofundisha accounting packages katika mkoa nilioutaja? Anayejua anijulishe. Ahsante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Some one to give the mathematical description of the wave. I mean in step-function format. With justification please.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Salaams, Siku za nyuma kulikuwa na huduma za BBC World Service kwenye baadhi ya maeneo ya Tanzania ambazo zilikuwa zikipatikana moja kwa moja masaa 24 bila kupitia redio station zingine kama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani hivi wazazi wenye watoto waliomaliza form four wapo hai kweli? mtawezaje ona watoto wenu wamefilikiasi hicho nakukaa kimya pasipo hatua yeyote? Au mmekubaliana na swala kuwa watoto wenu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
makaka/madada naomba namba za wakuu wa shule hizo mbili tafadhali. nahitaji haraka.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wafanyakazi wa chuo cha biashara waliunganisha nguvu kwa pamoja na kumkataa mkuu wa chuo hicho wiclief lugoe. Mkuu huyo anadaiwa kuondoa posho za nyumba, umeme na usafiri kwa wafanyakazi wote...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wapendwa wana JF naomba msaada/ushauri wa kujiendeleza na masomo kwa ngazi ya juu, kwa maana ya kwamba nimesoma Diploma ya Business Admn na kupata daraja la PASS hivyo naomba ushauri kwenu nifanye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF hamjambo?,mi ninatarajia kumaliza bachelor degree of Accountancy mwezi wa 7 na bahati nzuri nimepata sponsor kwa ajili ya MASTERS hvyo nlikuwa naomba kujua ni chuo kipi kizuri kwa ajili ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Sheria za kupata viza za wanafunzi nchini Uingereza zinatarajiwa kuwa ngumu zaidi- baada ya kuibuka wasiwasi kuwa mbinu za kuingia nchini humo kwa minajil hiyo hutumiwa kiudanganyifu Waziri wa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wana jf, kwa yeyote anaeweza kunipatia link za kudownloads notice za Physics for A lever,hasa za topic ya geophysics na link za masomo geography & chemistry nitashukuru kama nitafanikiwa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naomba kuwasilisha mada kwenu kwamba"Nini kifanyike kuwasaidia wadogo zetu waliofail mitihani yao ya mwaka jana?" kwa kuwa wengi wamepata alama za 0 na hawawezi kujiendeleza kielimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BIOLOGY HOME WORKS SERIES For advanced level students, observe the date and day please MONDAY 21/03/2011 1. A biologist isolated a sample of an enzyme called lactase from the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkipata nafasi naomba mtembelee hiyo website hapo juu. Pia wajulisheni na watu wengine kama mtaona ina manufaa. Natumaini wengi wenu mtanunua kitabu chake na hata kujiunga na kozi zake.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Poll Poll
jamii ya wanafunzi madaktari wa chuo kikuu cha tiba cha tumaini tawi la kcmc hapa moshi,kupitia makamu wa ras wa uongozi ulipita (2010),juzi alichukua fursa pekee na kutangazakuwa muda wao...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Usishagae hii kukaa jukwaa la elimu, hii ni kozi kamili kama kozi zingine. I have found this interesting, may be you too...If you are going to find it interesting do not forget to hit a thanks...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tumeona tume ya kuchunguza matatizo ya mikopo haina mwakilishi wa wanafunzi hata mmoja. Ni jambo la kushangaza kuona tume imejaa upande mmoja tu wa CCM na serikali hata wanafunzi wangeshirikishwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom