Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wadau, Naomba data kuhusu shule moja inayoitwa Manyunyu Secondary School. Kuna mtu kaniambia hii shule inapatikana Iringa. Ninependa mtu anayeifahamu anijuze kama kweli ipo Iringa; ipo Iringa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari hii ni ya ushindi wa malengo ya elimu, au huzuni kwa wanazuoni? Habari jamvini! Mimi nimeisoma hii kwenye mwananchi jana, na nimesikitika sana. Nini maana yake, tuna shule nyingi za A...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani baada ya majina ya wanafunzi kutangazwa kujiunga na kitato cha 5,nimekuwa nikifatilia taarifa mbalimbali za shule zetu huko nyumbani TZ, lakini cha kushangaza yaani huwezi kukuta shule ina...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Teaching is an education in Tanzania As a teacher in a large UK comprehensive, I was starting to fall out of love with my profession. I needed a challenge and an adventure. The list of...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Natumai wana jf wote ni wazima. Kuna kitu naomba nieleweshwe, nimekua nikisikia baadhi ya wanafunzi wa kitanzania wakienda china kusoma masters programmes mbalimbali zinazofundishwa kwa lugha ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimeona kwenye baadni ya magazeti ya leo tume inaomba wananchi na wadau wa elimu ya juu kwa ujumla kuchangia mawazo ya namna ya kuboresha utoaji wa mikopo wa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
hodi wana JF najckia niko poa sana ndani hili jamvi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa Vilaza wa hesabu na wanotaka kujikumbusha na kuongeza maarifa sina jinsi ya kuwasaidia zaidi ya hii YouTube - UMKC's Channel Kwaherini!!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hivi wana JF tuulizana hivyi vyuo vikuu vetu kama UDSM, UDOM, MZUMBE na vingine vyote vinaendelea katika utafiti au katika kuboronga? Kwani mwisho wake havitakuwa na maana. Je nini kifanyike...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
:panda::panda::panda:Jamani, nilibahatika kuwa external examiner wa chuo kimoja cha biashara (CBE), hapa TZ hivi karibuni. Wakati napitia baadhi ya paper za wanachuo, nilishangaa sana kwa kweli...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Came across the following information wide and thought it may be of use. 1 Harvard University U.S. 2 Massachusetts Institute of Technology U.S. 3 University of Cambridge UK 4 University of...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
kama kawa. wamemaliza mitihani. wamefulia. hawana bumu. sasa wanawindwa. wapewe pesa kidg. watumike kwenye maadamanaio haram. wengi wao wamekwama hawana naul wapo tu kwenye magorofa ya chuo.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
UDHAMINI WA MASOMO USA HASA KWA KINA MAMA NA DADA www.lifeofmshaba.com: KWA WANAWAKE WANAOTAKA KUJIENDELEZA KIELIMU
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hebu fikiria matokeo ya form four ya mwaka jana, kwa trend hii kwa miaka 5 au zaidi Tz itakuwa taifa la wajinga zaidi ili mafisadi akina RA waendelee kutawala-hii ni mbinu tu za hawa jamaa-make...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni jambo la kutia huruma kwa jinsi walimu wanaosimamia na kusahihisha mitihani ya f2 wanavyo zalilishwa. Kwanza malipo kwa karatasi ni 200/ tu. Afu tenda ya kusahihisha hufanyika kwa moja ya shule...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mengi yameongewa kuhusu mgomo uliotokea CBE Dodoma na mimi nimeona vema niwape picha halisi ya mgomo huo. Mgomo ulianza Jumatatu ya tarehe 07/03/2011 na kumalizika Jumatano tarehe 09/03/2011...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
At my school during those years, teachers used to display results on the notice board in the order of individual performance. The best appears as number one, and the worst comes last. It is very...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waziri Elimu asimamisha mishahara ya walimu sekondari Na Fredrick Katulanda, Kwimba WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Magreth Sitta, ameagiza kuwa mishahara ya walimu wote wa sekondari...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
President Jakaya Kikwete looks at JW 9242 F 7 G one of the jet fighters as he was visited at military camp of Tanzania people`s defence forces air in Dar es Salaam on Friday. (Photo: Amour Nassor)...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nani ana contact za hawa jamaa, Nimejaribu kuwatafuta siku ya tano sasa hawapo hewani kwenye website yao.Nimejaribu hatakwa simu ya TTCL waliotoa kama contact yao inanipa ujumbe unaoashiria ni mbovu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom