Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hellow nilikuwa nahitaji maelezo kuhusu mtu alie maliza form six miaka mitano iliyopita yaani 2007 pia ana Basic technician certificate NTA level 4 kwa masomo ya Electronics and Telecommunication...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
i have been thinking of how will tz be kama kiwango cha ufaulu kinapungua daily na ndo tunaforward katika hii ishu!!!i cant say much coz it pains!!!!!!!!!!!!!!!! guyz wat do u think of this if...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Leo naibu wa viwanda na biashara ndg lazaro nyalandu kazindua shahada 2 za uzamili (master's program) - master of int. trade na master of int. business ambazo zinatolewa na UDBS. Ni jambo zuri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Consolata Primary School Kila shule yenye hadhi enzi hizo ililazimika kuwa na bendi ya shule. Bendi ilipiga kila asubuhi wakati wa ukaguzi. Wanafunzi walikaguliwa kuanzia nywele, kucha nguo meno...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
You can apply for a diploma if that one principal pass is in sciences. For science-based diploma courses requires students to have at least one principal pass and two subsidiaries. However, if you...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Kuna taarifa kuwa bweni la wavulana wa kidato cha sita Kaisho sekondari iliyoko Karagwe limeunguzwa usiku wa kuamkia leo 8.2.2011 lakini hakuna mwanafunzi aliyejeruhiwa kwa kuwa wote walikuwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
naomba kuuliza ubora wa elimu inayotolewa nchini india as utakuta m2 kapata dv 4 au 0 hapa bongo bt anakimbilia india ambapo anaruhusiwa kusoma bachelor degree wakat hapa bongo nackia hairuhusiwi...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hivi walimu tunaelewa haki zetu au hatuelelewi? Maana walimu tuko kimya sana. Na hawa jamaa zetu wa cwt hawaeleweki! Sijui kama wenzangu mnawaelewa!. Hivi mshahara wa mwalimu aliyemaliza digree...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Members wa JF wenye ndugu na Marafiki wanaosoma CBE Dodoma... Wataadharisheni wanachuo wasomao hapo kuwa FFU wapo tayari in FULL GEAR wakijiaandaa ku-attack... nawasilisha...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Salaam Great Thinkers, Graduate wa IT level ya Degree. Nimeshafanya kazi kwa miaka 4 sasa kwenye field ya IT. Nataka kuongeza Elimu (Masters Level). Sababu. 1. Nimeona nina interest na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naombeni mnisaidie sylabus ya a-level katika combinatin ya HKL
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mkazi mmoja wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, Erest Khamis (45), anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kushiriki kumuua baba yake mzazi wakimtuhumu kuzuia mvua kunyesha mkoani humo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa muda nimekuwa nasoma majadiliano yanayohusu umuhimu wa elimu katika maisha ya jamii hasa ya Tanzania. Wengi wamechangia midahalo kama hiyo japokuwa kila kitu kinageuzwa kuwa ni swala la...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika chuo kikuu cha Dodoma jambo la kushangaza ni uongozi wa juu umeamua kublock SSID UDOM FACEBOOK. Kwani kila unapotaka kufungua Facebook inakataa na kwa jambo hilo limeleta utata na wanafunzi...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Habari nilizozipata, huko Dodoma, wanafunzi wa Bachelor wote wamegoma fanya mitihani ya end of semister.. Kisa imetungiwa CBE dar..
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Hii si uongo hapa muhusika kapatia
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wana jf natafuta kitabu cha kikristo kinachoitwa neema yangu yatosha kilichoandikwa na Ghulam Masih Naaman,mwanzo alikiandika kwa kingereza halafu kikatafsiriwa kwa kiswahili,ni cha mwaka 1997,pia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Siku izi ukitaka kujiunga na elimu ya juu, vyeti vyako vinatakiwa vikakaguliwe mahakamani kama ni feki au original. Yaani unampelekea hakimu ambeye awekaa kwenye dawati, hana database wala komputa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wana jf natamani sana kujua majina ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano mwaka huu 2011 wanatoa lini na kwa njia ipi tafadhali mwenye data atujuze
0 Reactions
1 Replies
11K Views
THE LONG-AWAITED KIFUNGILO REUNION IS HERE!!!!! Dear ladies, Kifungilo Alumnae, Can you believe it's been so long? But the memories are still as fresh as ever… We all acknowledge...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom