Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naombeni maelezo ya ubora wa elimu kutoka open university Tanzania ngazi ya uzamili tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimesikia kuwa kuna wanafunzi wamefikia uamuzi wa kuchangishana na kukodi waalimu kwa ajiri ya kujiokoa na kufeli. Mimi niko tayari kusaidia kufundisha masomo kama Maths, physics n.k. kwa O'level...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam wana JF! Sote tunakifahamu chuo chetu kikuu cha Dodoma. Ni chuo ambacho kumekua na vituko vingi vikiripotiwa toka pale. Mfano,wanafunzi kufundishwa na wahadhiri wenye shahada moja...
0 Reactions
24 Replies
9K Views
Sekondari Makurunge yakaidi amri ya serikali na Abdallah Khamis WAKATI serikali ikipiga marufuku shule kuwarudisha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mfumo wa wa elimu nchini tofauti na ule tulioridhi toka kwa wakoloni, na wanasiasa wanachezea elimu kama siasa badala ya kujenga mfumo wa elimu usiobadilika badilika. 1. Mabadiliko ya mara kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Elimu ni ufunguo...serekali imeficha kofuli??
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nini maana ya kuwa mhitimu katika fani au sekta husika? Je Watanzania wasomi tunaelewa maana halisi ya kujishughulisha na fani/utaalamu fulani au kusomea fani hizo kama ijulikanavyo na wengi wa...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Natafuta mwalimu wa Basic Mathematics wa tuition kwa mtoto wangu wa form one wakati wa likizo mwezi wa nne.
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Nimeiona hii kule BBC news: Education reduces blood pressure Higher levels of education have been linked to lower blood pressure Despite exam stress, a long stint in education is good...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jf!mm ni kijana wa kitanzania,nlmalza kdato cha 6 mwaka jana ktk shule flan kule kanda ya ziwa,bt kutokana na sababu zczozuilika ckufanya application kwenye chuo chochote,so mwaka hu...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
WanaJF, Hivi karibuni nilijumuika kwenye ziara ya Rais aliyechaguliwa na NEC, Dr. Kikwete (heshima-UDOM) ya kutembelea eneo la Gongolamboto lililoathiriwa na mabomu. Juzi nilijumuika pia kwenye...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Ukuta, mabweni ndio vipaumbele vya UDSM? Wednesday, 19 January 2011 21:21 Profesa Rwekaza Mukandara Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu, naomba kupatiwa tafauti baina ya Curriculum na Syllabus. Ni dhana mbili zinazonibabaisha. Naomba msaada wenu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
BARAZA la Mitihani la Taifa (Necta), limepuuza lawama zinazoelekezwa kwake kutokana na matokeo mabaya ya kidato cha nne ya mwaka 2010, likieleza kuwa halipaswi kulaumiwa huku Katibu Mtendaji wa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jamani Watanzania wenzangu, kwa takribani wiki mbili sasa nipo kwenye data collection(field) ktk shule mbalimbali za msingi mkoani wa Dodoma! Kuna mambo yameniacha hoi, ktk shule 12 nilizotembelea...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna taarifa kutoka chanzo kwa mtu wangu wa karibu aliyepo chuoni hapo kwamba mwanafunzi wa kike amefariki jana baada ya kukanyagwa na wenzie kwa kile kilichoelezwa ni kukimbilia kuwahi seat...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nimepata bahati ya kufuatilia matamshi ya General Shimbo katika nyakati tofauti ukianzia lile tamko la wakati wa uchaguzi, na hili la leo kuhusu makazi ya wanajeshi. Kadri ninavyofuatilia matamko...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za Kitaifa Theluthi 2 ya wanawake hawajui kusoma, kuandika Imeandikwa na Mwandishi Maalumu; Tarehe: 24th February 2011 @ 07:46 Imesomwa na watu: 20; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
FYI: The South African Centre for Epidemiological Modelling and Analysis (SACEMA), in collaboration with the African Institute for Mathematical Sciences (AIMS), is holding a 2 week modelling...
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Kwako Baba mpendwa shikamoo!! Salamu zangu kwenu nyumbani, mimi ni mzima hofu ni kwenu mlio mbali na upeo wa macho yangu!! Dhumuni la barua hii ni kukushukuru kwa yote ambayo umekuwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom