Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Le wanafunzi wa BACHELOR mwaka wa kwanza wa pili na wa tatu wameshindwa kuanza mitihani ya kumaliza semister baadaya walimu kugoma kwa sababu wanadai mishahara pamoja na marupuru yao ya miezi mitatu
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamani naombeni mnisaidie swali langu ni kwamba ; hivi combination ya HKL ina jihusisha na maswala gani? iwapo ukifika chuo kikuu? naombeni msaada wenu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JAMANI KUNA NAFASI ZA MASOMO HAPA NI NYINGI INAKUA NGUMU KUZIANDIKA ZOTE INA KWA NCHI ZINAZOENDELEA TANZANIA NI MOJA WAPO NYINGI NI MASTERS JARIBU KUONA NINATUMAINI KUNA MTU ZITAMSAIDIA SIO...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nimekua nikijiuliza hili swali kwa muda mrefu sana, na pia niwewahi kuwauliza watu mbali mbali wanaonizunguka ninapoishi, wengine husema udaktari, wengine engineering, law, ualimu n.k... Je wewe...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
JAMANI NILIANGALIA CHANNEL 10 ASUBUHI MNA TAARIFA KJUNA CHUO KIKUU KINAANZISHWA KIPYA JINA NI KAMA NILIVYOTAJA HAPO JUU CHINI YA LHRC Baraza la wadhamini linaongozwa na Askofu Sendoro Makamu mkuu...
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Kama kuna mtu yeyote ambaye ameona tangazo la mwaka huu 2011 kutoka wizara ya elimu na mafunzo kutangaza nafasi za wanaotaka kujiunga na masomo ya ualimu katika ualimu ngazi ya cheti katika vyuo...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Wanafunzi wa darasa la pili na tatu wa shule ya Msingi Magwalasi katika Kata ya Rujewa, wilayani Mbarali, mkoani Mbeya wakiwa darasani wakiendelea na masomo kutokana na uhaba wa vyumba vya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wandugu nimejaribu kutafuta form za kujaza za kuli-seat kwa level ya form four kuna dogo anaitaji, nimetafuta naona kama na-prove failure. Hata kama kuna mtu ana link naomba aniwekee
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi JF? Hope everything is fine.. I coded an applet program and tried to compile it, there were no error.. But once I run, using applet viewer, the console of da applet comes with unexpected...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Madarasa mawili wasomea chumba kimoja ''Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, George Kagomba hakupatikana kuzungumzia tatizo hilo na alipotafutwa kwa simu alijibu kuwa yuko kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu natafuta vitabu vya zamani vya English for primary schools darasa la 4-7 natamani nizisome tena hadithi kama vile; Standard four - Floods in in Ikwiriri village, the Veterinary Officer...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Uhaba wa madarasa mbalali, wanafunzi wakaa madarasa mawili chumba kimoja, aka mzungu wa nne. Wengine wasomea chini ya mwembe. Enzi za mwalimu zinarudi! This is negative development! Shame, miaka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunadhibiti ubora wa vyeti UDOM-Prof Kikula Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), umetupili mbali madai ya wahitimu wa kozi mbalimbali kuwa vyeti vyao vimecheleweshwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba mniambie elimu inayotolewa kwa njia ya mtandao kiwango chake kikoje na ubora wake pia kwa sababu inaonyesha kwa nchi zilizokwisha endelea idadi ya watu wanaosoma kwa njia ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani nimekuwa najiuliza sana juu ya uwezo wa Kikwete kuongoza nchi. Inakuwaje Rais mzima anashindwa kufikiri kama vile hajaenda shule? Nimesoma kwamba ana elimu ya Chuo Kikuu, lakini mbona...
0 Reactions
67 Replies
15K Views
Habari? Naomba kufahamu kama kuna scholarship ya masters katika technology za computer.. Mahali: Iwe ni US, Europe, Singapore, au Malaysia.. Mimi kwa sasa namalizia mwaka wa pili BSc...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
====================================================== EDUCATION International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993 TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
naombeni wanajamii forums mnijuze kama kuna Trainings/Seminars zinazohusu mambo ya Utawala na Fedha zitakazofanyika ndani Tanzania nje ya Jiji la Dar es Salaam, kwa kipindi cha March 2011 to June...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wale wanaotegemea kufanya mitihani ya ACCA june!ipo web very simple ambayo unaweza kupata material kiurahisi na hivyo kufanya kazi ya kukamua iwe easy!kwa kila notes(kitabu)kinauzwa pound 3...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
By Edward Qorro The Citizen Reporter Dar es Salaam. As countries struggle to evacuate their citizens from Libya, some Tanzanians remaining in the besieged nation have appealed to the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom