Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Katika moja ya mambo ambayo huumiza kichwa ni mzazi kufanya maamuzi ya shule ipi binafsi apeleke mwanae kwa masomo ya O level na A level. Tuweke taarifa au swali kuhusu ada na ubora wa shule na...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Naomba msaada wa kitabu Cha macro economics pamoja na agricultural production economics Cha dolly and orazem pamoja na kitabu chochote kinachohusiana na social research #natanguliza shukran
0 Reactions
3 Replies
324 Views
Wakuu naombeni ushauri wenu juu hizi kizi. Kati y business information technology na information technology ipi ni nzuri zaidi.. naingia degree mwaka wa kwanza (business information technology)...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wapendwa! Naomba kuuliza kwa yeyote anayefahamu ada ya chuo cha adem mbeya au mwanza ngazi ya diploma anifahamishe. By GATCE
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamani mimi ni mwalimu katika shule X iliopo mkoa Y. Ninahitaji kujiendeleza kielimu kuchukua diploma lakini naingia kwenye mfumo wa Wizara ya elimu "tcm.moe.go.tz" siwaelewi. Kwanza...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu, dogo ana div 1 alisoma arts na biology ambayo alipata B maths C Geo C , history A, Eng A, mengine B Msaada pls amechaguliwa kwenda Tabora girls HGL lakini maono yake ni kwenda chuo...
0 Reactions
5 Replies
966 Views
Zikiwa siku 3 zimeyeyuka toka nianze kuwahudumia English medium, duh changamoto ni kua nimetoka Sekondari kufundisha vitu vigumu yani no sawa na kunishusha kwenye semi kunileta kwenye guta.. Somo...
2 Reactions
6 Replies
770 Views
Kwema wakuu.. Naombeni ushauri. Mimi ni mwalimu nilisoma BACHELOR OF EDUCATION (BED. Geography) natamani kusoma masters sasa sijui nisomee masters ya kitu gani naombeni ushauri.
1 Reactions
28 Replies
9K Views
Naombeni ushauri kwa matokeo haya huyu anaweza soma course zipi ? DIV. IV.28 SUBJECTS PERFORMANCE ENGLISH =D MATHEMATICS =F GEOGRAPHY =F HISTORY=D BIOLOGY=C CIVICS=D KISWAHILI =C
1 Reactions
6 Replies
1K Views
NACTVET wamefungua dirisha la maombi kwa vyuo vya kati .
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau habari zenu, Naomba mwenye kujua chuo chochote Songea au Mkoa wa Ruvuma kiujumla kinachotoa kozi zifuatazo; 1. Diploma ya maabara/Pharmacy 2. Elimu ya X ray na mionzi
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu habari za leo! Mwanangu anapenda kusoma Aircraft Eng, ningependa kupata msaada kama kuna wadau wanaweza kunipa input yeyote kuhusu vyuo vya canada ili niweze kujiandaa na kufikia...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Hellow habari zenu wadau natumaini mpo salama. Nina mdogo wangu mwaka wa pili (HUMAN RESOURCE MANAGEMENT) mwezi wa Saba anatakiwa aanze field na katika maombi yake amebahatika kupata CRDB branch...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Wakuuu kwema Hii ndio elimu bure? Kwanini serikali isiajiri wapishi ikawalipa? Inauma sana.
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wana JF. Kuna bwana mdogo mmoja alifanikiwa kusomo hadi form four lakini kabla ya kusajiliwa kufanya mtihani wa mwisho akapatikana na kesi iliyo mpelekea kufukuzwa shule...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wasomi. Nimeona wasomi wengi wanatafuta vitabu vya science especially PCM. Nimejitahidi kutafuta vitabu kama vyote vya PCM vipo softcopy kama PURE 1 & 2 MATHEMATICS, TRANTER, NELKON...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kujuzwa nanyi juu ya internal factors for liberation struggle in Africa
0 Reactions
1 Replies
338 Views
Wakuu kichwa cha habari kinaeleweka niambie chuo gani kinachoendesha kozi tajwa na ada yake nataka nijue kwa mwaka ni kiasi gani na chuo gani bei yake ni rahisi na kinachotoa mafunzo vizuri
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Habari za muda huu wakuu...hongereni Man City na ubingwa wa 3 mfululizo. Tuachane na hayo kuna mdogo wangu (mtoto wa baba mkubwa) kamaliza kidato Cha nne mwaka Jana! Ndoto na Lengo lake kubwa ni...
0 Reactions
10 Replies
962 Views
Wakuu hivi inawezekana kwa awa madogo walichaguliwa kujiunga na chuo. Je, anaweza kuhama chuo alichochaguliwa na kuhamia kingine?
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom