Naomba msaada wa haya maswali.
(a) Formulate a business research title of your choice
(b) Identify three independent variables and one dependent variable from your title in (a) above
(a) Create...
Habari wakuu,
Kama unamwanao hajachaguliwa chuo au advance usiwaze sana jibu ni nactevet. Fanya maombi ya kupitia nactevet naamini atapata kozi nzuri aliyohitaji, dirisha linafunguliwa keshokutwa...
Habar zenu wakuu,
Polen kwa majukum na shughul za kila siku katika kujenga taifa!![emoji1241][emoji1241]
Ok! Kwa kuingia kweny mada husika mm n form4 leaver kutoka shule fulani jijin dar lakin...
Habari za jioni wana jamii forums?
Niende moja kwa moja kwenye lengo la uzi wangu! Mimi nikijana niliebahatika kupata scholarship ya kwenda kusoma urusi, ambapo mategemeo yangu ni kuondoka...
Habarini wakuu,
Hongereni kwa mliochaguliwa kujiunga na kidatChcha tano, kikubwa tusiishi na historia, Kama ulipata division one O - level jipange upya ukatafute one nyingine ila hakuna...
Habari
Poleni na majukumu
Naomba kufahamu mtu mwenye uelewa kama inawezekana kubalisha combination na shule bila kwenda shule aliyoteuliwa.
Naomba kuwasilisha ahsante.
Ndugu wana jukwa kuna dogo kapata 4 ya 26 ana c ya bios na chemia c alafu nyingine D6 na mathf sasa anapenda kujiunga na kozi moja wapo hapo juu yana lab assistance veta au health information...
Dear users,
I think its time now to riview the Education for Self Reliance now to make the youths productive and effective in the society.
Imagine youths are graduating every year without any...
Nimehitimu kidato cha nne mwaka Jana 2021.
Nimechaguliwa kujiunga chuoni kwa ajili ya kozi ya Uhasibu.
Kwa sababu ya uchumi duni ambapo Karo na gharama nyingine za chuo, sitamudu kusoma.
Pili...
Wakuu habari dirisha la maombi ya vyuo vilivyo chini ya nactevet kufunguliwa tarehe tajwa hapo juu, hebu tujuane tunaotaka kuomba vyuo vya kozi za afya kwa kufahamishana vyuo vizuri.
Karibuni
Naomba kujua jinsi ya kupata uhamisho kwa mwanafunzi aliyechaguliwa Kidato cha Tano. Mwanangu kachaguliwa Shule ya mbali mno na usafiri wa shida kufika.
Pia, hali ya hewa huko hataweza kuimudu...
Habar za sahizi wakuu
Nilikua naulizia joining instruction ya shule ya TURA SECONDARY SCHOOL iliyoko Tabora maana nmejaribu kusearch kwenye website ya TAMISEMI naona inakataa kuja naombeni...
Habari wakuu,
Tafadhali mwenye namba za simu za chuo cha Kilimanjaro College of Health and Allied Sciences tafadhali aniwekee hapa, kwa maana nimejaribu kusearch mtandaoni sijazipata.
Hiki chuo...
Inaitwa Republic Archive Information And Management.
Mdogo wangu kachaguliwa katika hizi selection za Tamisemi Kozi hiyo chuo kinaitwa TANZANIA PUBLIC SERVICES (TPS) CAMPUS YA MTWARA.
Hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.