Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hivi kusoma chuo na kusoma advance private candidate bora nini
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Kwenu watendaji wa Tamisemi. Kuna vijana wengi wameomba ajira za ualimu ambao sio walimu na mfumo umewakubali kabsa bila shida Sasa kwa ushauri tu muanze na mchujo wa vyeti vya chuo kabla ya kitu...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Je, ukipata. Phy-D Chm-C Math-B Geo-C Uwezekano kwa kupangiwa pcm upo kwl? Plz
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Kama kuna mtu ameomba kazi ya ukarani wa sensa, hapa kwenye password naandika nini?
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Katika upakiaji wa firm no1 iliyosainiwa je. ni peg ipi inatakiwa kuattach? maana kila nikijaribu naona peg moja tu ktk mfumo.
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Fights on your self by gaining aids and support from GOD, all humans are blind
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Waungwana naomba kujua mtihani wa kidato cha sita utakuwa lini? Uzi tayari
1 Reactions
2 Replies
936 Views
Habarini wana jukwaa, Naomba mwenye uelewa na course tajwa hapo juu anipe dondoo mbili tatu kuhusu modules zifundishwazo katika hii course, nimetokea kuvutiwa nayo.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salama wakuu? Natafuta madesa ya Barchelor Of Arts In Law Enforcement "BALE" kozi inayo tolewa pale UDSM. Kama kuna mtu anachukua BALE au alisoma BALE pale UDSM, tafadhali...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Habarini wana jukwa, Naomba Mwenye ufahamu wa vigezo vinavyo hitajika kujunga na chuo cha michezo cha Mallya na cozi mbali mbali zitolewazo anisaidie nimetamani kufahamu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwakweli hili suala linafikirisha sana. Marekani high school alama F inaanzia 59 kushuka ambayo huku ni C ya kibabe sana. Huku F inaanzia 29, yaani mtu akipata 30 kafaulu. hata logic inakataa, mtu...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Wadau naombeni ushauri kuhusu kozi ya bachelor degree in roads and railway logistics and management pale NIT. 1. kazi zake hapo baadae. Nina one ya 9 ya HGL
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Wakuu habari, Poleni na majukumu nilikuwa naomba kuuliza kuwa kwa Sasa Nacte imebadilishwa imekuwa nactevet ikiwa inamaana ya VETA itakuwa chini yao je, ni vigezo vipi ambavyo vinahitajika kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Poleni na majukumu wakuu.Mungu ni mwema kila wakati. Kwa wale walio kazini nafikiri watakuwa wanajua kuwa, mtu aliyesoma degree tofauti kwa mfano ktk Elimu anaweza akafanya Postgraduate diploma...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ndugu wanna jamvi kuna changamoto inatokea kwa baadhi ya walimu kutokupewa vipaumbele kabsa. Kuna vijana wamehitimu udom 2015 wakiwa wamesoma computer studies na masomo ya sanaa ila wamebaguliwa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujuzwa kwa hapa Tanzania katika siku kuu za Idi l fitri na Idl adhha huwa tunapumzika siku ngapi katika kazi? [emoji120]
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hivi kuna wadau waliosoma kozi ya PGDE humu, wakafanikiwa kuajiliwa na kuripoti vituo vya kazi wakafundiasha kwa bidii kisha kuondolewa kazini baada ya miezi3, eti kwa madai degree ya kwanza...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habarin za muda huu..naombeni kuuliza iv mtu anayesoma bsc in chemistry anaweza kuwa Pharmaceutical technician? Kwasabab wanaosoma hii course pia wanasoma pharmaceutical chemistry au medicinal...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom