Habari wakuu!! Ningependa kuuliza kama kwa hii (Msc IT Management) program Content inatosha mtu kuwa na Technical knowledge za IT au zipo based on Management tu
CORE COURSES
COURSE TITLE...
Habari za majukumu,
Naitaji kusoma degree ya Open University nahitaji kujua utaratibu wa namna ya kusoma kwa huo mfumo. Nini nikifanye na changamoto zipi zinaweza tokea katika hili!
Asante
Habarini za humu JF Elimu,
Leo nimekuja kutoa nami mawazo na mitazamo ni namna gani tunaweza kuwasaidia hawa watoto katika hili somo rahisi kabisa!
MAMBO YA MSINGI KWA MWANAFUNZI NA KWA MWALIMU...
Ningependa kujua ni kozi gani inayohusika na hati mkato ,maana nakutana na matangazo ya ajira yakiwa yanamtaka mtu wa kujaza nafasi kama "Katibu Muhtasi ".
Naombeni mwenye kujua hiyo kozi anisaidie
Kuandikiwa Dissertation na mtu sio jambo baya au Kinyume na Sheria hapana. Zipo sababu nyingi zinapelekea mtu kuandikiwa dissertation au research kuanzia mwanzo hadi final stage.
Sababu...
Poleni na majukumu ndg zangu. Naitaji ushauri wenu ili niweze kutimiza dream yangu.
Mimi na rudia mtihania wa kidato cha nne, pia ni mwajiriwa najisomesha mwenyewe, nimepatwa na changamoto ambayo...
Habari za muda huu wakuu
Ninaomba kujua utofauti kati ya fundi sanifu vifaa tiba na mhandisi vifaa tiba maana kwenye ajira zilizotoka nimeona wameweka watu wa aina hiyo sasa sijajua utofauti...
Wadau nimesha deal na vyuo vikuu vifuatavyo;
University of Dar Es Salaam, Open university, Istitute of Finance Management (IFM) na Mzumbe University. Nilichokumbana nacho si mfano bora, na hasa...
Habari zenu wapendwa natumai mko salama saana pole na changamoto za kila siku mnazopitia katika maisha.
Mimi ni mwanafunzi nlie maliza form six mwaka2021 na ilipo fika wakati wa kuomba vyuo...
Habari ya muda huu wana jamvi.
Leo naomba kuuliza swali hivi ni kwanini serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania [emoji1241] haina mpango wa kufikiria kuanza kutumia lugha ya Kiingereza kama...
Je, walimu sio mahiri? Je, wanafunzi ni vilaza?Je masomo ni magumu? au je mitihani ndiyo migumu?
Mazingira ya ujifunzaji yanaridhisha? Je, kuna vitabu vya kutosha? Mitaala inakidhi viwango? Au ni...
Samahani wakubwa Hivi hii Kozi ya Bachelor of Science in Physics pale UDOM mtu akisoma anakuwa nani maana kila nitakayemuuliza ananiambia hapo ni ualimu naomba mnisaidie hapa? 🐒🐒🐒🤔🤔
Hakuna wa kumlaumu kama kwa %kubwa wasiojiweza wamekosa mikopo ili hali wanavigezo.
Kwani Mama Mwenye nyumba alishasema " hata watoto wenye uwezo nao wanufaike mikopo" yote hayo ni kupindua mambo...
Asilimia kubwa ya wanafunzi nchini Tanzania hufanya vibaya SoMo la HISABATI , Jambo linalofanya wengi kuliita tatizo hili gonjwa la taifa . Kuna sababu mbalimbali zinazofanya wanafunzi wengi...
Mwaka 2018/2019 helsb bodi ya mikopo elimu ya chuo kiku ilitoa taarifa kwa waombaji walio omba mikopo kwa awamu 5 tu za mwanzo katika tuvuti zao.
Lakini awamu zilizofuata zilitumwa moja kwa moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.