Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kama mada inavyojieleza hapo naomba kujua wastani wa muda ambao NECTA wanachukua KUTOA certificate kwa mwanafunzi ambaye anastahili kupata?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habar wakuu! Naomba kujua kama chuo cha Arusha Tech wanatoa certificate ya Mechanical engineering na vigezo vyao ni vipi? Ada yao ni kiasi gani? Mazingira ni rafik kwa usomaji?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada ukiomba kazi ya ualimu ukapangiwa kituo cha kazi ukaacha kwenda kureport vipi unahesabiwa kuwa umeajiriwa tayar ata kama hukwenda au unaruhusiwa kuomba tena? Maana nilipangiwa siku report...
0 Reactions
1 Replies
580 Views
Habari, Mimi ni mtumishi natamani kuhama mkoa huu ninayofanyia kazi kwa sababu ya changamoto za kimaisha na ugonjwa naomba msaada wa kimawazo njia zipi natakiwa kupita.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii thread ni kwa ajili ya wana chuo au watu waliomaliza chuo kabisa na wenye ndoto ya kwenda kujiendeleza kimasomo kwa Masters na PhD. Naandika huu uzi kutokana na my personal experience. 1...
2 Reactions
22 Replies
6K Views
Wakuu wapenzi wa Physics ni matumaini yangu hamjambo. Niende moja kwa moja kwenye swali:- Hivi ikitokea mtu akatoboa tundu katika ya dunia, tundu hilo litobolewe hapo ulipo na lipitie katikati...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Kakangu amehitimu diploma ya Early childhood education mwaka 2016 alianzia ngazi ya cheti baadae Diploma. Matokeo ya form 4 ana div four ya 32 na D ziko 3 je anaweza kupata nafasi ya kuajiriwa au...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Heshima kwenu wakuu, nina wasiwasi mkubwa sana hapo baadae katika hizi ajira za ualimu maana nikichunguza kuna shule kwa sasa walimu wanagawana maada za kufundisha hali hii inanipa shaka kidogo...
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Jamani ndugu zangu nilikua naomba mnisaidie kama kuna mtu ana PDF ya majina ya wanafunzi waliopangiwa kujiunga na kidato cha tank 2021/2022 naomba anisaidie.
0 Reactions
0 Replies
739 Views
Kwa kuangalia sasa hakuna ajira labda kijana asome Sana GPA ije imbebe wakati ushindani Ni mkubwa wakati wa ajira. Matokeo yake wenye GPA kubwa wakirudi mtaan hana focus tena na wenye GpA 2.0-3.2...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kilivyo wataalamu wa bahari wanisaidie kuhusu ajira za navigation na chuo gani wanafundisha kwa hapa Tanzania na mambo mengine yote yanayohusu husu hiki kitu mtakuwa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu! Nina mgogoro wa nafsi na naomba ushauri Mgogoro wangu ni kuhusiana na chuo cha kusoma hapa Tanzania Nilisoma Dip in civil chuo cha St. Joseph na kugraduate 2021, now nasoma mwaka wa...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Nina diploma in clinical medicine Nina GPA ya 2.4 nitafanyaje ili niweze kujiendeleza kusoma elimu ya chuo kikuu
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Bachelor of Economics and Statistics na Bachelor of Economics and Finance
1 Reactions
20 Replies
9K Views
Vijana karibuni muapply open chuo kizuri sana kwa watu wanaojua kujitafutia na kucheza na mda
6 Reactions
106 Replies
20K Views
Hello, wajuvi naombeni msaada kwenye hili. Karibuni sana.!
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Ili Kupunguza Mlundikano wa Threads ! Maswali kuhusu vifaa na vitabu Muhimu uliza hapa ! ====> KWA WALE SCIENCE ===> CALCULATOR ni fx - 991MS snipa
1 Reactions
20 Replies
16K Views
Naombeni mnisaidie number za supplier wa chemicals na vifaa vya laboratory za shule
1 Reactions
5 Replies
777 Views
Habari za wakati huu ndugu zangu,naombeni hints za mbinu za kuweza kwanza kupata hamu ya kujisomea,pia kujisomea sana na kwa muda mrefu mno, natamani nisome hata 24hrs/7 ila tatizo kubwa ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapendwa naomba kujua mnaosoma Sheria je? Hii course ni lazima uwe na background ya Degree ya Sheria!? Au mtu mwenye Degree ya International Relations anaweza kusoma? Ambao mko na uzoefu naomba...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom