Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Chuo kikuu cha Dodoma katika college ya Sayansi ya jamii(College of Social Science and Humanities) wamegoma kwa sababu hakuna huduma ya maji hapo chuoni kwao pia wanadai waruhusiwe kufanya...
0 Reactions
233 Replies
23K Views
Ndugu wanaJF! jana katika pita pita nilikutana na mzee mmoja ambaye alinihakikishia kuwa kutoka kwenye chanzo cha uhakika amepata habari kuwa kuna polisi walirape wanafunzi wakati wamewatawanya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanajamvi nafikiria njia gani nzuri tunaweza itumia ili kupeleka ushawishi kwa wasomi walioko shule na vyuo kujiunga na kuutumia huu uwanja wa jf ili kupata taarifa. Nawasilisha.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wapendwa nilikuwa pale hazina leo nkapenda niwape tu vidokezo mwenye uwezo wa kufwatilia ajitahdi..nimekutana na wazee wawili na vijana wawili wakifwatilia yale malipo ya udom toka mwaka 2008...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
When working to reform the educational systems nowadays we often hear the mentioning of the term critical thinking in discussions about educational reform, but it's not always clear what it means...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Jamani kwa wale waliosoma vyuo kama UDSM mnasemaje kuhusu walimu wa kibongo (Dr. & Professors)? Je ni kweli kwamba ni wanoko, au sisi wanafunzi hatuna akili, au basi tuu huwa hawataki mtu amalize...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Yes -- a general explanation Hot water can in fact freeze faster than cold water for a wide range of experimental conditions. This phenomenon is extremely counter- intuitive, and surprising...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NDUGU wana Jf,habari napenda niwape habari iliyotokea saa moja lililopita,kuwa hapa china Yangling katika chuo nisomacho NORTHWEST A&F UNIVERSITY mwanafunzi kutoka Bangradeshi ameuwauwa na raia...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari za ndani udom zinasema kuwa kuna wanafunzi wawili waliuawa kwenye maandamano, mmoja wao akiwa ni mja mzito. Lakini hili linafunikwa ili skendo hii isiwe isijulikane. Yuko na mwanafunzi...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Muda huu tayari mabibo kumewaka. na pia wamefunga barabara ya mandela kwa dakika 10. sehemu ya mabibo hostel. kesho barabarani rasmi.
0 Reactions
45 Replies
6K Views
knye gazeti la leo daily newz wametoa scholaship za mastaz na phd china kwa anaehitali jipatie nakala yako
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hapo majuzi vijana wa UDOM waliandamana wakiwa na nia ya kuelekea ofisini kwa mizengo pinda aka mtoto wa mkulima kufikisha kilio chao kwake. wakiwa njiani pale makulu walikutana na FFU ambao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi nawashangaa sana wanaokiponda UDOM ni watu hatari sana katika mabadiliko ya elimu nchini wamesahau kabisa ukiritimba wa UDSM miaka iliyopita ambapo ma lecturer walikuwa wanajiona kama Miungu...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Hiiii ndiooo a aaaaaaaaaaaaaa ina mkia mbeleee aaaaaaaaaaaaa eeeeee Hiiiii ndio eee eeeeeeee eeeeeeee iko kama kikombe eeeeeeeeee iiiiiiiiiiiii hiiiiiiii ndio iiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ina...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nipo naangalia This week in perspective TBC1. Miongoni mwa washiriki ni Dr Sengondo Mvungi ambaye amejitambulisha na ametambulishwa kuwa anatoka UNIVERSITY OF BAGAMOYO. Inawezekana kikawa ni chuo...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Natoa wito kwa uongozi wa serikali ya wanafunzi wa UDOM kutoa tamko la kuomba radhi kwa kitendo cha baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho kumshambulia mwandishi wa habari wa gazeti la mwananchi...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wanachuo kozi ya art wi education wamegoma kwa kukosa mikopo kupitia tcu. Kwa madai kwamba kozi haitambuliki kisheria "kama hamtaki kusoma acheni" hii ni kauli ya prof mmoja mkuu wa chuo hicho...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
OUT kutoa shahada ya uzamili kuhusu ustawi wa jamii Tuesday, 11 January 2011 20:02 newsroom NA...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
je kuna ukweli wowote wa kisayansi kuwa kondoo huwa anapigana na radi?na ukivaa nguo nyekundu utapigwa radi?au ni mapokeo tu?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom