Wengi wamekuwa wakiongea mengi kuhusu UDOM na CCM sasa ninachojiuliza sijui hivyo vyuo vingine vya serikali ni vya TLP, APPT Maendeleo, Demokrasia Makini au Jahazi!!!
Naomba wana JF wenzangu...
The government is planning to introduce English as a medium of instruction from standard three in three years, aiming to raise the confidence of Tanzania job seekers in the East African common...
The government is planning to introduce English as a medium of instruction from standard three in three years, aiming to raise the confidence of Tanzania job seekers in the East African common...
By BILHAM KIMATI, 15th December 2010 @ 11:00, Total Comments: 0, Hits: 213
THE government has opened door to hire English teachers from the East African region to help strengthen the education...
H.J. Heinz Company Foundation Fellowship 2010-11
Mallaba Foundation updated:2010-12-9 22:42:28 The Global Studies Center at the University of Pittsburgh requests applications for the H. J...
BACHELOR'S DEGREE SCHOLARSHIP IN USA (BEREA COLLEGE)
Mallaba Foundation updated:2010-12-9 22:40:58 Are you looking for a high quality U.S. education and scholarships to assist with the...
Kwa kawaida kila anayetunukiwa shahada ya uzamivu anavaa kofia ya duara. Lakini MUHAS tar 11/12/2010 walimvisha mhe Jakaya Mrisho Kikwete kofia ya mraba.
Kwangu nikiwa msomi wa shahada ya uzamili...
Salaam kwenu nyote wapenda maendeleo wa dhati hapa Tanzania. Ninayo furaha kubwa kuwataarifu kwamba sisi wanajumuiya ya Chuo Kikuu Cha Dodoma ambao ni wafuasi wa dhati wa CHAMA CHA DEMOKRASIA NA...
Tumesikia kwenye vyombo vya habari kuwa mama mmoja huko Kahama amejifungua..........watano. Nimeshindwa kujaza hapo kwa kuwa magazeti mengi yameandika mapacha na gazetio moja limeandika watoto ...
Guys nilikuwa nimepost kule kwenye habari mchanganyiko lakini kwasababu sikuona hii sehemu, nimeona nihamishie hapa.
Pata vitabu hapa bure bila kuvunja sheria ya copyright
Download free books at...
Tumeshuhudia hivi karibuni Dr Jakaya Kikwete akizawadiwa degree ya heshima katika fani ya afya ya jamii.sababu kadhaa zilitajwa kwanini Kikwete anastahili degree hiyo.
Katika kumbukumbu zangu...
Wezi wa mitihani kudhibitiwa
Imeandikwa na Namsembaeli Mduma; Tarehe: 14th December 2010 @ 07:00
BAADA ya kukithiri kwa wizi wa mitihani katika Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), serikali...
WanaJamvi mimi nina maswali yangu kwa Wizara ya elimu
Nina watoto wangu bado wanaendelea kusoma lakini mimi nimetumia nguvu nyingi kusoma mpaka nimefikia hapa nilipo kwa elimu yangu inanitosha...
"This principles of accounting website provides a free comprehensive textbook and learning center. Both financial accounting and managerial accounting topics are covered."
Bofya hapa chini...
CBE Mwanza yahitaji mamilioni kulipa fidia
Na Wilhelm Mulinda, Mwanza
CHUO cha Elimu ya Biashara nchini (CBE) kinahitaji Sh. milioni 243,264,846 ili kulipia fidia ya ardhi katika eneo la...
na Asha Bani
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika, amesema ameanza kutekeleza ahadi yake ya kutenga asilimia 20 ya mshahara wake kwa ajili ya Mfuko wa Elimu katika jimbo hilo.
Akizungumza katika...
Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi,Muhimbili Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi akimtunukia Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete Digrii ya Heshima ya Udaktari wa Afya ya Jamii(Doctor of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.