Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Ndugu wanaJF, nilikuwa Algeria kwa wiki moja hivi na huko nimeonana na baadhi ya Watanzania, ambao wameamua kufanya kazi huko kuliko kurudi Tanzania kwa kile walichodai "viongozi wetu ndio...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Serikali iyafanyie kazi maoni ya HakiElimu Janet Josiah WALIMU ni kiungo muhimu katika sekta ya elimu nchini kuanzia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam wana JF., Yamepita ya UDOM na MUHIMBILI Univ. kumtununuku udokta mkwere., Mzumbe University ndio wanafanya mahafali leo., Tutarajie nini kutoka kwao ukizingatia kuwa ni chuo maswahiba wa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa miaka mingi, Mfumo wa utawala wa siasa umeomanishwa na utawala wa serekali. kwa namna hii tofauti na nchi kama Ethiopia, wananchi wa Tanzania kwa kupitia serekali yao, mashirika ya umma na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Serikali yasalimu masharti Udom Wednesday, 22 December 2010 19:49 Habel Chidawali na Masoud Masasi, Dodoma HATIMAYE Serikali imesalimu amri kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
MKUU wa Wilaya ya Uyui mkoani Tabora, Stanley Kolimba, ameshtushwa na taarifa kuwa Shule ya Msingi Mbuyuni katika Kata ya Kigwa, ina wanafunzi 584, walimu sita, vyumba vya madarasa viwili na vyoo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bara la Afrika limekuwa likikumbwa na matatizo yanayofanana mfano: angalia Ivory coast, Zimbabwe, Kenya, Sudan na kwingine. imefika wakati baadhi ya watu wanajiaminisha kwamba hali hii inatokea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"Wanafunzi darasa la saba 2010 wasiojua kusoma na kuandika, wamefaulu kujiunga kidato cha kwanza 2011 kwa asilimia zaidi". Haya ni maandalizi ya vibaraka au maprofesa katika TZ ya leo na ya kesho?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanafunzi Ardhi nao waanza mgomo Thursday, 23 December 2010 20:08 Ibrahim Yamola na Imakulate Peter MWAMKO wa wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu kudai...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Serikali yasalimu masharti Udom Send to a friend Wednesday, 22 December 2010 19:49 0diggsdigg Waziri wa Mambo ya Ndani, Shamsi Vuai Nahodha. Habel Chidawali na Masoud Masasi, Dodoma HATIMAYE...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Nimesoma comments kibao sana hapa JF kuhusu mgomo wa wanafunzi wa UDOM. Kuna theme moja nimeiona inashika moto hapa JF kuwa wanafunzi wa UDOM ni wana CCM. You know what, hata mimi nilikuwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jana kulikuwa na mkutano kati ya uongozi wa UDOM na mawaziri wa Elimu na Mambo ya Ndani. Mkutano uliendelea hadi saa nane usiku wa kuamkia leo. Na leo asubuhi kulikuwa na msafara wa wote...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu hili neno kiukweli sijajua maana yake kamili labda inawezekana lina maana kubwa au lina maana nyingi. ningeomba wadau wanaojua maana yake halisi waweze kutuelewesha ,manake kwanza hili neno...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Nafasi ya kusoma Masters degree in Education and Globalisation, Finland. kwa taarifa zaidi nenda BestLife Africa.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MGOMO wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wa kutokuingia madarasani kushinikiza wenzao waliokuwa wakishikiliwa na polisi kuachiwa pamoja na kupatiwa fedha kwa ajili ya masomo kwa vitendo...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
MGOGORO katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), umeibuka upya baada ya wanafunzi wa Kitivo cha Sayansi ya Jamii kugoma kuingia madarasani jana kwa lengo la kuushinikiza uongozi wa chuo kutoa agizo la...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimeongea na mwanafunzi mmoja pale chuoni ndo haya amenidhibitishia ijapokuwa wenye fani (waandishi wa habari) confirm zaidi; Wanafunzi 2 wamekufa, hii inahitaji udhitisho. wameporwa simu, fedha...
0 Reactions
71 Replies
6K Views
Wanafunzi wa Kile chuo kikuu kinachojulikana kwa wengi kama chuo cha CCM, UDOM wameanzisha mgomo tangu jana usiku na kuendelea asubuhi hii. Mgomo huo ambao hasa unafanyika katika chuo cha...
0 Reactions
129 Replies
13K Views
"Wanafunzi UDOM wapigwa mabomu ya machozi, walitaka kwenda ofisini kwa waziri mkuu" Breaking news-Radio ONE ya saa tano.
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Back
Top Bottom