Habari za wakati huu,
Uzi maalumu kwa ajili ya wanafunzi wote wa vyuo vikuu na vyuo vya kati katika kusaidiana mambo mbali mbali ya vyuoni e.g kielimu, kijamii na kusaidiana namna ya kutatua...
Habari zenu,
Naomba kufahanishwa ,kuna mwalimu ameajiriwa mwaka jana ,sasa mwanae anasumbuliwa na Afya ,mtoto ana umri wa mwaka mmoja, , hospital amegundulika anashida kubwa, kwahiyo...
Wadau wa jukwaa la elimu, habarini
Naomba msaada wa Best cover letter maana imefikia hatua naona kama labda approach ya barua zangu za maombi ya kazi au CV ndo zinashida. Natuma maombi 10 ila...
Habari za siku nyingi kidogo, ni muda sasa kutokana na majukumu ya hapa na pale sikuweza kuleta hata uzi mmoja hapa JF!
Wanajamii, kama Heading inavyosema nina mawazo mawili kinzana katika...
Habari wana JF. Jamani ninaomba mawazo yenu. Mimi ni mwalimu wa shule ya sekondari. Ila wakati naajiriwa nilikua tayari nimejiendeleza kwa kua na degree ya pili ya takwimi. MSc. Stat. Ndoto yangu...
Habari zenu, natumaini ni wazima wote? Natamani sana kujifunza digital skills hasa programming kutengenez systems, websites, apps n.k ila nakosa mentors wakunipa guide naishia youtube n skillshare...
Wazazi wengi hasa walioenda shule wanapenda watoto wao wa some Elimu ya juu yaani kidato cha tano, sita na kwenda chuoni kusoma degree na ikiwezekana apate na masters.
Unapowalea watoto wako...
Habarini Wakuu, Wakati Ndugu Zetu(Dada, Kaka,majamaa,wadogo Zetu) Wamepokea Matokeo Ya Kidato Cha Nne, Ni Dhahiri Shairi Kwamba Sio Wote Watakao Pata Nafasi Kwa Shule Za Serikali Wapo Watakao...
Salaam wakuu
Uzi huu ni mahususi kwa waliosoma elimu ya sekondari kidato cha nne na au sita katika shule ya sekondari ya Kinondoni Muslim. Lengo hasa ni kutambua na kuheshimu mchango wa shule hii...
Je umewai kuona mlolongo wa namba zinazo jiludia tena na tena mfano 1111 ,222 au umeskia kwamba kuona 12:12 kwenye saa ni ishara ya bahati . Kuona namba namba zinazojiludia kwenye saa au mahali...
Mnyampala ni moja ya waandishi wa mwanzo mwanzo kabisa Tanzania. Nisaidie vitabu vyake vitatu. Kama unavyo viscan halafu nitumie. Kila kitabu 10,000.
1. Diwani ya Mnyampala
2. Kisa cha mrina...
Habari ya saivi wakuu, naomba mwenye taarifa ya vyuo vya ualimu vinavyotoa course ya ualimu elimu maalumu hasa wenye tatizo la kusikia
Wapi zinatolewa na vigezo gani wanazingatia kwenye udahili...
Wakuu nahitaji kusoma certificate ya tour guide kwa mwaka mmoja nipo Arusha.
Naombeni kujua yafuatayo kuhusu hii kozi
Chuo kizuri kwa hapa Arusha
Gharama zake
Soko la ajira likoje
Asanteni.
HABARI? wanafr naomba kuuliza na mwenye kunisaidia aweze kunisaaidia. kuna kitabu cha tamthiya kinaitwa ngoswe penzi kitovu cha uzembe kinafundishwa elimu ya sekondari. naweza kupata kikiwa (soft...
Habari wanajukwaa,mimi ni mhitimu wa kidato cha nne mwaka 2012 kwa matokeo haya:
Civics -C
History - C
Kiswahili -C
Geography -B
Biology - D
Math's- F
English-F
Nilikua na mpango wa kujiendeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.