Habari waungwana.
Nina mtoto hapa ambaye matokeo yake ya Kidato cha nne ni Kama ifuatavyo.
Amepata "C" katika Civics, Kiswahili, Chemistry na Biology.
Amepata " D" katika History, Geography...
Kimsingi inasikitisha sana. Raisi wetu mpendwa anapambana kupunguza mizigo kwa wananchi wake lakin kuna watendaji wanamuangusha.
Raisi wetu mpendwa alitangaza hadharani kuondoa 6% ya ongezeko la...
Jamani nisaidieni hapa nina mdogo wangu kapata performance hii Kwa masomo ya arts , (iv-26)naombeni ushauri akasome nini jamani
Civics- C
Kiswahili-C
Geography-C
English-D
History-D
Maths-F...
Kwawale wote wenye uhitaji wa kupata cpa tunawakaribisha katika center yetu ya DCRC iliyopo ukonga primary school nyuma ya mahakama ya kisutu.
Hii ni fee structure
Pia kuna offer ya scholarship...
Habari wakuu kwa matokeo haya
English D
Kiswahili D
Civics F
Biology D
geography C
B.math C
History D
Four ya 27
Hayo matokeo ni ya 2012 ,Sasa nataka kujua Kama ataweza kusoma CPA na aanzie...
Nilifaulu mtihani WA form six Resit Physics D na ADvMath D General study F lakini kupata cheti niliambiwa haiwezekani maana masomo ni kidogo. Je, hii ikoje? Nina result slip tu.
Je, Kuna...
Naombeni kuuliza kitu wakuu, nimebahatika kupata mtu ambae amekubali kunilipia gharama za masomo postgraduate.
Kwa vile sikuwa nimejiandaa ,nimekuja gundua deadline kwa october intake imeshapita...
Samahani wana jamii forum kwa mwenye atakuwa na majina ya round ya kwanza na ya pili chuo cha udsm kwa ngazi ya masters degree naomba anisaidie.
Natanguliza shukrani.
Ndugu wana JF pole na majukumu yenu ya Kila siku.
Nina Jambo naomba kufahamishwa kwa wale wa taalam , unapoanza kusoma cours yeyote inayo husu Uxereva mathalani Advanced driving grade two...
Nimemaliza form four na nimepata 2 katika masomo yote nimepata c kasoro math ndio nimepata f upande wa art lakini
Nilikua naomba msaada wenu kuhus course GAni nzuri ambayo naweza soma upande wa...
Wakuu nina vijana wawili wa kike na wa kiume wamemaliza kidato cha nne mwaka huu 2021.
Kama mnavyofahamu kwamba matokeo yao yakitoka January wanatapaswa kujiunga kidato cha tano mwezi July.
Sasa...
Habarini wana JF
Mimi ni undergraduate nimehitimu mwaka huu chuo Bachelor in Environmental Health Sciences (BSc EHS) tumezoeleka kuitwa MAAFISA AFYA.
Ndoto yangu kubwa kusoma masters nchi za nje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.