Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naomba kujua chuo cha ushonaji nguo ambacho kipo Dar es salaam...? Nawasilisha
2 Reactions
20 Replies
10K Views
Habari zetu wanajamii Forum Samahani sana ndugu naomba kwa mwenye kufahamu utaratibu wa kumhamisho mtoto wa darasa tatu kwenda darasa la nne kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine. Na je kuna...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi Taaluma yangu ni mhandisi ambaye nilipenda sana somo la fizikia enzi nikiwa shuleni. Nimejaribu kurejea mambo wanayofundishwa watoto wetu nikashangaa kuna upotoshaji mkubwa. Mfano: NECTA...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Siku hiyo kulikua na wageni shuleni japo sikumbuki ni nani alikuja nikatumwa na mwalimu kupeleka mifuko ya kutunzia mahindi kwa mwalimu aliekua akiishi mbali kidogo na shule nikasingizia tumbo...
9 Reactions
52 Replies
5K Views
Wakuu najiandaa kufanya mtihani wa Private Candidate mwishoni mwa mwezi wa kumi naombeni mbinu za kufanikiwa kwa hilo
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Chawa[https://upload] Chawa wa kichwa (Pediculus humanus capitis) Uainishaji wa kisayansi Himaya:Animalia (Wanyama) Faila:Arthropoda (Wanyama wenye mwili wa pingili na miguu ya kuunga wasio na...
1 Reactions
1 Replies
861 Views
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, anawatangazia watumishi walioomba ufadhili wa masomo ya Uzamili kwa mwaka wa masomo 2020/2021 kuwa zoezi la uchaguzi...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Hii inaitwa pambana na hali yako. Kuna shule naitafuta toka juzi siioni. Sasa kwa upangaji huu labda inaonekana hayana umuhimu sana na watu hawana mpango nayo. Sidhani kama watu wote wanatumia...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Naombeni ushauri wakuu Kati ya diploma ya clinical medicine na electrical engineering njia ipi ni sahih kwa wakat tuliopo na tunavyoenda mbele.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habarini wakuu, poleni na majukumu, kwenye pita pita zangu nimeona hii program na na kupitia guidelines zake. Wenye uelewa naombeni mtueleweshe kwenye ; azimio lake, manufaa kwa jamii na watumishi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pamoja na matokeo ya kidato cha 4 kuongezeka ufaulu, kidato cha 2 na darasa la 4 kwa mujibu wa taarifa/ripoti ya Baraza la Elimu Tanzania limesema kuwa bado ufaulu wa Somo la Hisabati uko chini...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Leo hii siku ya kufungua shule, Shule ya Olympio Upanga, Dar zaidi ya nusu ya wanafunzi wamerudishwa majumbani kwa kutokwenda na ada. Wameambiwa lazima waende na angalau laki mbili ndiyo...
7 Reactions
122 Replies
15K Views
Ndugu wanajamvi naombeni mwenye uelewa wa kozi mbalimbali ngazi ya certificate na Diploma zinazotolewa na Alison Online je cheti chake kinatambulika Duniani kwenye ajira au kujiendeleza?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mtakua mmeshuhudia kwamba kuna shule karibia asilimia 90 wamepata 1.7, means karibia darasa zima kila mtoto ana A masomo yote. Nimejiuliza maswali kadhaa nimekosa majibu: 1. Je, zamani tulikua...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Shule nyingi za kiislam hazifanyi vizuri kabisa kwenye matokeo Shule za kiislam sina shida gani?? Hizo shule zinafundisha nini hasa kama hakuna hata shule moja inayoingia hata top 20 bora...
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Kumpeleka Mtoto shule yenye Ada kubwa au Shule ya Garama ni kupoteza tu hela, cz mtoto atasoma atafika hadi Chuo then atamaliza Vizuri chuo, baada ya kumaliza chuo anakuwa mzigo wako tena...
7 Reactions
92 Replies
6K Views
Wakuu Ningependa kujua kama nchini kwetu kuna vituo maalumu vya kufundisha vijana wadogo masuala mazima ya IT hususani Coding na inshu nzima za Software engineering. Uzi tayari...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nafanyeje, naomba ushauri Nimepata connection kuna jamaa yangu flani yeye anasoma huko nje ananiambia wanasoma wanalipwa kila mwezi around 3M za kitanzania, ananiambia na mimi nikitaka...
3 Reactions
82 Replies
7K Views
Back
Top Bottom