Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mwaka 2018 Mwanafunzi Aliyeongoza Kitaifa Kwenye Matokeo Ya Darasa La 7 Alitokea Chato, Pia Mwanafunzi Aliyeongoza Darasa La 4 Kitaifa Alitokea Chato, Mwaka Huu Mvulana Wa Kwanza Kitaifa Darasa La...
6 Reactions
66 Replies
9K Views
Utaratibu wa kupata viongozi katika mfumo wa elimu umekuwa ni moja ya tatizo kubwa katika mikakati inayofanywa na serikali ya kuboresha elimu Tanzania. Viongozi wengi wa elimu kuanzia walimu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba ushauri wenu hizi kampuni zinazopeleka wanafunzi nje global na univers abroad zipo chini ya wizara ipi, mfano nimelipa pesa kusomesha mtoto halafu nikasumbuliwa, njoo kesho njoo kesho sijui...
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Katika shule aliyofanya mtihani mtoto wangu. Kati ya wanafunzi 180 waliofanya mtihani ni wanafunzi 67 tu ambao matokeo yao yametoka,waliobaki unakutana na alama ya nyota kisha w,nini tafsiri yake?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hllw guyz,naomba msaada wa hili swali. 1. ACustomer needs to get an Electric Circuit which will operate his DC Electric bell which Requires a Voltage input of 12Vdc and Current of 3.5A in his...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za Leo wakuu, Kumbe Advanced Physics na Advanced Chemistry tunayosoma form five na six ndio hiyo hiyo inayosomwa U.S, China, Ufaransa na mataifa mengine. Tofauti ni moja tu sisi...
6 Reactions
30 Replies
5K Views
Heshima kwenu wadau wa JF. Mgawanyo wa fedha kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2021/2022 ni kilio kitupu kwa walio wengi. Imagine mtu analipiwa 256,000|= Out ya 1263,000|= tafsiri yake hapo...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Hiv nduguni....hio GPA ambayo ni overall ndo wanacalculate kiaj yan kwa upande wa diploma ni kwamba wanashika zote semista sita na kugawa kwa jumla ya GPA za semista zote au inakaaje msaada wadau.
0 Reactions
2 Replies
849 Views
Najaribu kutafakari ni vipi tunaweza kujikwamua ili tuwe na elimu bora, lakini nakosa majibu. Huenda shida si mtaala au content ya kinachofundishwa. Inawezekana tuna mtaala mzuri lakini...
2 Reactions
5 Replies
760 Views
Lakini Mimi bado bilabila kule SIPA.au bado kidogo?awamu ya nne hawajataja tarehe rasmi.imekaaje hii wadau??
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Elimu ya Tanzania imeanza kuzalisha wasomi wa aina yake. Ngono kwenye vyuo vya elimu ya juu imesjika kasi na inaxalisha wasomo wa hovyo. Serikali iunde taasisi mfano NECTA itakayo tunga na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Leo tarehe 28/10/2021 wanafunzi wetu wa Darasa la nne wanafanya mitihani yao ya kuwapima uelewa wao kabla hawajavuka kwenda darasa la tano. Tunawatakia mtihani mwema. Tudhibiti udanganyifu...
12 Reactions
21 Replies
2K Views
Nimepangiwa mkopo wa elimu ya juu kwenye chuo ambacho sija kichagua, sasa sijui nafanyaje naombeni msaada kwa ambae anajua nini cha kufanya.
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi napenda kuuliza katika kozi ya IT hasa ngazi ya diploma ugumu upo maeneo gani, Mana dogo anatamani kujua kwani kashachaguliwa chuo fulani jijini Mbeya, So mliosoma hiyo kozi naomba...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wanajamii, Nawasalimu kwa jina la jamhuri. Poleni na majukumu yenu ya kila siku. Niko mbele yenu kuwaomba ushauri ndugu zangu juu ya hili jamba kuhusu mkopo wa elimu ya juu. Mimi ni...
0 Reactions
7 Replies
983 Views
Wadau, kama upo humu na una chumba maeneo ya Mazimbu, Ipoipo au FK nipange chap. Hata kama una chumba zaidi ya kimoja itakuwa poa sana
1 Reactions
5 Replies
894 Views
Kwa wale wageni maeneo ya chuo na wanafunzi nicheki kwa issue ya malazi hasa wasichana namba ni 073540758i
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi mwaka wa kwanza SUA natafuta chumba mazimbu kizuri kabla ya kuripoti yeyote Wakunisaidi a 0756679941
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Gwala kwa wana JF, JF long live (wote long liiive). Sina budi kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai siku ya leo, pia kongole za kutosha ziwaendee founders wa JF. JF imetumika kama chombo cha kutoa...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limezuia matokeo ya mitihani ya utabibu ngazi ya stashahada ikisubiri uchunguzi unaofanywa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Wazee na Watoto...
6 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom