Naombeni msaada wa hilo swali plz kwani sielewi mpaka sasa nifanye nini angali sijapata registration no ya chuo kutokana na kukosa ada ya kujisajili na form ya kuappel kuna kipengele cha kujazwa...
Nashindwa kuelewa hivi wadau JF ni saidieni hivi kwa continous student mkopo huwa unabadilika maana nimejaribu kuingia kwenye account yangu nakuta mambo tofauti na awali pesa walizoniwekea miaka...
Naomba kujua endapo ukihama chuo je process zakuhamisha mkopo zitachukua Muda gani?
Naomba nipewe Experience kutoka kwa mtu mwenye uzoefu na ili jambo.
Naomba msaada wandugu,
Eti kwa mwanachuo anaeingia mwaka wa pili, akaomba mkopo HELSB kwa mwaka huo. Wanapotoa batch yeye ataingizwa kwenye batch Gani, maana batch ya kwanza wamesema ni kwa mwaka...
jamn naamini mko powa na wenye kujisikia vibaya kiafya MUNGU awape wepes,, jaman mmm nimechaguliwa mkwawa univst,,kusoma education ila sikupenda kusoma hiyo kitu nilihitaj human resorc,, na hapa...
Habari za majukumu wakuu
Naomba tujuzane kuhusu ufundi unaoweza kuusomea na ukakulipa vzr kwa hapa Dar kwa miaka hii ya sasa. Natanguliza shukrani na karibuni kwa mawazo mbali mbali
Natumaini wote ni wazima wa afya, dhumuni kubwa la uzi huu ni kwamba. Nina mdogo wangu amechaguliwa Mzumbe Main Campus kozi ya Public Admnistration in local Government Management (BPA LGM).
Sasa...
Jamani mtu yeyote mwenye vitabu, internet sources au notes about importance of communication skills for students who studying bachelor degree of laws anaweza kunisaidia.
Shukrani
Habari zenu wadau , Kuna ndg yangu mmoja anakituo Cha kulelea watoto lakini anahitaji kukiweka kiwe Cha mayatima na watoto wasio jiweza kusomeshwa na kupata mahitaji yao ya kimwili.
Hivyo Kuna...
Wadau habari zenu!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Ningependa tujadili haya mambo kuhusu ufaulu wa wanafunzi wa shule za msingi kwemda form one kwamba mimi naona kuna mambo makubwa sana ya...
Nimemtumia maombi ya chuo mdogo wangu na hajapewa mkopo kabisa. Sasa najaribu kuapeal napata meseji hii;
Sorry!! S.......... is not Eligible for Appeal
Because of the following reason(s);-...
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.....
Somo tajwa hapo juu lahusika,mkoa wa kagera ktk matokeo ya darasa la Saba 2021 umeporomoka kiasi Cha kukosekana miongoni mwa...
Mkuu wa idara ya Regional Chuo cha Mipango IRDP acha ukiritimba na roho mbaya... Kila mwaka wanafunzi wanashindwa kugraduate kutokana na kuzuia matokeo yao! Badilika usijione mungu mtu hii ni...
Dirisha limefunguliwa rasmi lakukata rufaa kwa wale wote ambao hawajaridhika na kiwango walichopewa na waliokosa kabisa
Kwamimi binafsi nilipata asilimia tisini lakini sikupewa books and...
Wandugu,
Kijana amechagliwa kwenda Lugalo kwenye clinical medicine. Kuna taarifa kuwa chuo kimefunguliwa tarehe 3/10/2021. Lakini joining instructions zinasema kufungua ni tarehe 11/11/2021...
Habarini wana jamvii,
Naomba kuuliza HV m2 alietoka form 6 kombi za sayansi akahitaji kwenda kupiga kozi za afya Kama pharmacy, Clinical Officer, nae atasoma miaka 3 au 2?
Maana nimesikia sikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.