Habari wakuu!kuna mdogo wangu alisoma Civil engineering Sasa mwaka huu ameamua kwenda kusoma Masters ya Ethics of Governance and Public Services, kwakweli kwake research ni kitu kipya kabisa hivyo...
In Tanzania students who complete their primary school (standard seven) and perform well in their PSLC NECTA exams are normally selected by TAMISEMI to join various secondary schools located in...
Mimi ni mwanafunzi wa kadato cha pili nauliza unapopewa swali la kuandika insha Kama ya watoto wa mitaani kwa maneno yaaiyo zidi 120, mambo yapi ya kuzingatia katika uandishi🙏
Jamani samahani nini mimi nilikuwa nasoma college moja hivi ya private nilikuwa na soma nursing & midwife sasa nilipofika mwaka wa pili semester ya pili niliishiwa ada nikaamua kuahirisha masomo...
Habari za wakati huu,
Kwanza kabisa nikiwa Kama mTanzania naungana na waTanzania popote walipo ndani na nje ya kuomboleza kifo cha Hayati J. P Magufuli!
Niende Moja kwa Moja kwenye Mada
Kama...
Tafiti ni requisite kwa wanafunzi wa Masters na Phd ambapo kwa sasa wanatakiwa kuwa na publication kwa wanaofanya masters by thesis, huku Phd Ikiwa ni lazima kuwa na publications mbili kwenye...
Jaman naomba kuuliza hivi mfano kama mwaka huu tcu weshusha vigezo vya kwenda MD kwa diploma yaani 3.0 badala ya 3.5 je ni kwa mwaka huu au inachulua muda gan mpka wabadili tena
Waswahili(wahenga) walisema ''Mungu si Athumani" pia ''Mungu hamtupi mja wake"
Nilipata supp kwa kipindi chote cha miaka 4 nikiwa napambana na elimu yangu ya juu. Haikuwa jambo dogo hatimaye...
Habarini wana jamvi nilikua naomba msaada wa mAwazo nimemaliza form4 mwaka 2018 nikiwa na ufaulu wa DIVISION2 POINT 20 Phys-D,Chem-C,Bios-C
MATHS-F nahitaji kuomba nafasi ngazi ya diploma chuo cha...
Watalam wa Kemia nawakaribisha ili muweze kunielimisha ingawa najua sio mimi peke yangu ni wengi ambao hawajui!
Karibuni mtupe elimu, maana tusje tukawa tunakula vyuma kama vile nondo na bati...
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima.
Kama kichwa cha habari kinavyosema natafuta broker mzuri Kwa hapa Tanzania.
Nimejifunza forex muda mrefu sasa nataka kufungua real account...
Habari za saizi wana jamii forum nimekuja mbele yenu kuna issue nataka kuulizia maana kuna mtu anaulizia
Ni vigezo gani vya kuwa tutorial assistant kwa vyuo vikuu na vyuo vya kati amemaliza...
Wakuu nakusalimuni, kwa wale wataalamu wa fizikia naomba kuuliza, je value ya internal resistance of dry cell ni constant? Kama ndio ni ngapi?
Natanguliza shukrani.
Natoa gwala kwa wana 'JF', na nimatumaini yangu mko na afya njema kabisa, kama si ivyo na unapitia hali ngumu namuomba Mungu mwingi wa rehema akusaidie.
Niende moja kwa moja kwenye 'topic' ya uzi...
Sintofaham imetoke katika chuo Cha Moshi catholic university ambapo wanafunzi wanaondelea na masomo yaan second year na third year wamebandikiwa allocation mpya za mkopo
Ambazo zinaonesha mikopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.