Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Msaada kuhusu construction management endproduct yake anakuwa mtu gani na ajira zake zikoje Naomba msaada wa hio course wakuu
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Vitambulisho vimeokota kwenye gari mwenye kumjua ndugu yetu apo apige namba 0654930190 apate mali zake
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni jambo jema tunapofanya kampeni ya kwamba watoto wetu waliopata mimba wakiwa mashuleni wakakatisha masomo warudi mashuleni kuendelea na masomo Lakini ni muhimu zaidi kujiuliza vichanga...
4 Reactions
54 Replies
4K Views
Elimu ya Tanzania haiishi vituko. Ndio maana hatuendelei. Maana flaw kwenye mifumo yetu ya elimu ni mingi mno. Ndio maana unashangaa, unakua na CPA ya Tanzania, ukitaka kufanya mitihani ya ACCA...
50 Reactions
156 Replies
45K Views
Shule zinashindana kwenye ufaulu wa watoto kwa kushirikiana na wazazi wa watoto. Wanafanya hivyo kwa mbinu tofauti ikiwemo ya watoto kusoma masaa mengi hata weekend na long vacation, kuwakaririsha...
1 Reactions
1 Replies
992 Views
Wakuu habari za jioni Nina mdogo wangu amekosa mkopo amefanya appeal ila bado hajapata chochote Familia hatuna uwezo wa kumsomesha Nishauri nn ? Naombeni msaada hapa
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Naomba kujua tofauti kati BBA na BBM hizi course kwani zinautofauti? Msaada wenu nahitaj kujua kwa undani
1 Reactions
2 Replies
872 Views
Wakuu habarini za saa hizi.. Wakuu kama mada inavojieleza hapo juu, naomba mwenye uelewa na American psychological Association ( A. P . A) style, anielezee kidogo. Na ikiwezekana anipe na format...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wadau wa elimu habarini za mda huu, Tangu kuanza kwa wiki hii inayoelekea weekend kumetokea na taharuki kubwa kwa vyuo mbalimbali hapa Nchini na inaendelea hadi da huu wanafunzi wengi tuko...
6 Reactions
61 Replies
8K Views
Ukisikia watu wanasema ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni basi ndio hii. Mmoja wa mwanachuo wanaoanza mwaka huu, atapewa sh. 2750 kwa mwaka. Kwa lugha nyepesi kabisa huyu mwanachuo...
10 Reactions
48 Replies
5K Views
Daktar anapoingia chumba chenye wagonjwa tofauti tofauti halafu wote akawapa dawa ya malaria hii inamana kuwa watakao pona ni wenye malaria tu wengine atakuwa hajawasaidia. Hicho ndio kinacho...
0 Reactions
3 Replies
697 Views
Natafuta Mtaalam wa masomo hayo juu aliyopo Dar aweze kunipiga brush kidogo, nasoma post graduate Diploma.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Malalamiko yanawakumba asilimia 80 ya wanafunzi wengi wao watoto Wa masikini, kwani ada (2nd installment) hutakiwa kulipwa January ya kila mwaka kabla ya mitihani ya mwisho (semester exams)...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu naomba link ya matokeo waliopangiwa form 1 mwaka 2022
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi kuna utaratibu wowote unaotumika wakati wa ulipaji ada chuo kwa wale tuliopata asilimia chache za mkopo? Kwani huwa kuna deadline??! Nawasilisha!!
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Vyuo vyetu vikuu vina idadi ndogo ya maprofesa, na wale wachache waliopo sio kweli wote wanazo sifa za kushika nafasi ya u vice chancellor, maNaibu Makamu wakuu wa chuo taaluma na mipango na...
8 Reactions
37 Replies
4K Views
Habari wakuu, Nimezunguka sana mitandaoni kutafuta matokeo ya darasa la saba mwaka 2008 lakini sijayaona Au website na necta ilikuwa bado haijaanzishwa? Tafadhali wakuu naomba msaada wenu...
0 Reactions
3 Replies
36K Views
Salaam alaikum, Zamani kabla ya 2010 kurudi nyuma huko tulizoea kuona vitabu vya namna mbalimbali kwa maudhui moja. Namaanisha somo husika kwa darasa fulani linakuwa na matoleo kibao ya vitabu...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani poleni na majukumu natumaini muwazima wa afya naomben ushauri kuhusu swala la kurudia mtihani was kidato cha nne nataka nirudie masomo ya science ambayo awali sikuyafanya je inawezekana...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Afande RPC, so.1 op-officer & RCO Taarifa ya kufanya udanganyifu katika mtihani wa kidato cha nne tarehe 15/11/2021 Kamil:mkr/ir/1240/2021 (xx) ilani ya kwanza (xx) kosa: taarifa kufanya...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Back
Top Bottom