Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Salute wadau... Naomba msaada je nitumie mbinu gani kumfundisha mtu online. Kuna mwanafunzi mmoja nahitaji kumfundisha tatizo yupo mbali na mimi kwa hiyo njia pekee n kutumia mtandao sasa...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana Jf! Naomba kufahamishwa shule nzuri kwa wavulana na ada zake. Asante
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu, Naomba kujua shule nzuri ya private kwa Advance yenye michepuko ya Sayansi (ukiondoa St. Joseph na Alpha), itafaa sana ikiwa Dar es salaam lakini hata mikoa mingine ni njema...
2 Reactions
15 Replies
7K Views
How is fact true support or go against the fact by two languages between kiswahili and english. Welcome. True or false with explanation
1 Reactions
4 Replies
571 Views
Habarini wakuu, nina apply scholarship kwa ajili ya undergraduate, scholarships kwa Tanzania zinasimamiwa na TCU mimi bado nipo shule form six nitamaliza mwakani 2018. Naomba kujuzwa, je kama...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
My name is Kendrick Patrick, I am a university student in this year 2021 i mean its my first year on my studies at UNIVERSITY OF DODOMA my course is ENVIRONMENTAL DISASTER AND MANAGEMENT...
0 Reactions
2 Replies
652 Views
Believe In Yourself Keep Your Priorities Straight Take Responsibility For Yourself Create Your Own Future Focus On What You Want Learn To Visualize The Outcome Of Your Goals Never Let...
0 Reactions
5 Replies
631 Views
Hello naitwa Kelvin kutokea Dodoma, naombeni ushauri nimecarry-over somo moja ambalo limeairisha nafasi yangu ya kugraduate mwaka huu UDSM (education). Naomben ushauri anayejua jinsi ya...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu naomba kuuliza hili swahili. Unawezaje kupata Scholarship ya kusoma PhD US au CANADA. Kama kuna mtu alishawai pata tutoe tongotongo tuweze kuelewa na ulipata aina gani ya scholarship.
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Umuofia kwenu, Mimi ni muajiriwa wa serikali katika kada moja nikiwa na ngazi ya diploma kutokana na mabadiliko mbali mbali ya kimfumo na kimikakati imenilazimu nitafute degree kwa njia ya...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Habarini ndg zangu, Najua katibu wa baraza atapitia na kusoma uzi huu. Kiukweli katika kazi hizi maalumu za NECTA (usimamiz na usahishaji). Huku ngaz za wilaya huwa panakuwaga sio fair kabisa...
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Nauliza tu kwa kasi hii ya mabadiliko ya kidigitali bado ni muafaka kukaa darasani miaka 3 kusomea degree ya kwanza hasa hizi za sanaa na Biashara? Maoni yako Tafadhali. Maendeleo hayana vyama!
2 Reactions
7 Replies
962 Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU KUVUJA KWA MITIHANI YA UTABIBU Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ina jukumu la kusimamia na kutathmini sera na miongozo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habbari ndugu zangu Nilikua nataka tu kujua kuhusu hili.. kwanza mm ni mwanafunzi mwaka wa pili Diploma nasoma Mechanical engineering, nilikua naomba kujua ni-specialize wapi(kitengo gani)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba anayefahamu hii course inayopatikana CBE. Ina deal na nini? Possible carrier zake?
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habarini za kutwa wakuu. Poleni kwa mihangaiko ya mchana kutwa. Nina kijana kahitim kidato cha nne mwaka huu 2021, kwa sasa hivi yupo tu nyumbani hana shughuli ya kujishugulisha, hivo ningependa...
0 Reactions
0 Replies
902 Views
Mimi ni kijana umri wangu miaka 21 elimu yangu form four lakini nakabiliwa na changamoto ya kuandika sina amani na mwandiko wangu kila ninapoandika wenzangu wanacheka wanasema naandika kama mtoto...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari wanaJF, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nimepita Bookshops kadhaa hapa Dsm nimekosa hicho kitabu,kama kuna mtu anaweza kunisaidia sehemu nikakipata nitashukuru. Asante kwa msaada wako
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Thread for physics applicable facts in our daily life Coz everything is physics Example; why do we drink milk or juice using a straw and fact on why the rise of it in the straw? Help Me The Fact...
3 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari wakuu. poleni na majukumu. turejee Kichwa cha uzi.(Hii ni plani B nimeamua kuigeukia baada ya plan A kufeli kwa kushindwa kuripoti chuo mwaka Jana na mpaka sasa ni mwaka nipo tu na naona...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom