Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu, Naomba kufahamu kituo/Vituo vya kurudia mtihani wa form four, hapa DODOMA CC
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Ni kwanini wameondoa ule muundo mashuleni (wa 100/100 au 100%) badala yake wameleta muundo mpya mwingine? (wa 50/50)
1 Reactions
2 Replies
545 Views
Wadau nahitaji dictionaryApp ambayo ina uwezo Kama Google translate Ila inatumika Offline pasipo hutaki data ntafuraji sana. Asnateni
0 Reactions
5 Replies
390 Views
Huwa kuna utaratibu gani mtu akitaka Ku resit mitihani ya form 6 aliyemaliza mwaka huu mwezi wa 5 na hakufanikiwa kwenda bachelor ataenda Ku resit shule au kwenye vituo na anahitaji Ku resit...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Msaada Kwa anayejua shule ya sekondari ya bweni Kwa mkoa wa Dar-es-laam au mkoa wa Pwani yenye ada isiyozidi milioni2 ufaulu mzuri na yenye mchanganyiko wa jinsia anisaidie
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Being a parent is one of the greatest reward, that the Most High Creator presented freely, in this world. Since it is a gift then we should do our level best, to inspire and uplift our children...
2 Reactions
6 Replies
963 Views
Hapa Jf niliuliza kuhusu kuhama chuo na kuhamisha mkopo wadau walinijibu uongo sana kumbe kuhama chuo unahama hata bila Admission letter then na mkopo wako unahamishwa kirahisi tu na huu ndo ukweli.
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Nilimaliza form four mwaka 2018 kwa ufaulu wa division 3 ya 24, lakini nilikua na F moja ya Mathematics hata hivyo nikachagulia na TAMISEMI kusomea coz ya marketing ndiyo...
3 Reactions
20 Replies
5K Views
Habari za Jioni hii ndugu WanaJf wenzangu. Natumaini mko poua kabisa na mko katika mapumziko baada ya kazi za siku nzima. Ngoja niende kwenye maada moja kwa moja. Niko katika Njia panda sijui...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Kuna MTU nataka nimsomeshe ila uwezo wangu wa kumlipia ada usizidi 1,500,000 kwa yeyote anaejua shule yenye gharama ninayoiweza kuimudu anisaidie nitafurahi zaidi ikiwa ndani ya Dar
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamii inawaheshimu sana wasomi hasa maprofesa, jamii inadhani kuwa professor sio mtu wa mchezomchezo, anafahamu na kujua na kuweza kila kitu na kila jambo. Inapotokea tukio la professor kubezwa...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Waungwana naomba kufahamu upana wa nafasi za ajira kwa aliyesoma course ya geography and environment studies kwa Tanzania na Africa mashariki.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wataalamu msaada hapa, hii kitu huwa imanichanganyaga sana:- Nina Tshs. 500 SPEND BALANCE 1) 200…....…...............300 2) 150..........................150 3) 90.….......................60 4)...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habarini wadau ! Naomba kuuliza kuhusu hii kozi mpango wa serikali katika ajira zake maana ni kama imesahaulika sana au haitambuliki? Tunajua serikali iliajiri mara moja tu toka 2018 shida inakuwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale waliosoma shule ya Kifungilo it doesn't matter umesoma mwaka gani. Apparently Me and My other 2 classmates (The original M&K "as you know what i mean lol!...blushing!! -:)..)...
1 Reactions
166 Replies
22K Views
Wakuu habari, Kuna binamu yangu alifanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu 2021, na akafaulu kwa wastani wa B, naona wamepangiwa shule, ila yeye sijaona kapangiwa shule gani! Au huwa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii ni koz imeanzishwa na chuo kimoja Cha private mwaka huu,vijana wa kitanzania wamepata bahat ya kujifunza mechanics iliyochanganywa na electronics .. Hii nimeipenda bze inaendana na currently...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar za saa Hz wana Jamii forum msaada kwa watu wanajua namna ya kuapa Na kuongeza jina la tatu Na inachukua mda gan? Had mchakato kukamilika
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kwa wanaolewa hapo kapata mkopo au kakosa
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa, nahitaji msaada wa kujua kama vitabu vya mtaala mpya 2019 vilivyochapishwa na taasisi ya elimu hasa vya shule ya msingi, je vilishatoka? Na kama vilishatoka naweza kuvipata wapi...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom