Majina yawaliopata mkopo yametoka lakini cha ajabu loan board wametoa asilimia chache Sana namm mfukoni nina pesa ya nauli tu, Ada ya chuo ni million moja na Laki moja lakini wao wamenipa Laki...
Wengi wetu katika Elimu yetu ya msingi katika masomo ya lugha tulisoma hadithi mbalimbali zilizotusaidia kukuza uwezo wetu wa kusoma na kuandika kwa wakati ule, hadithi kama Juma na Uledi, punda...
Habari zenu wapendwa; kwa wapenzi wa kusoma vitabu je ni kitabu gani unatamani kukisoma lakini hakijawahi kuandikwa? Au ni topic gani ungependa kuisoma kwenye kitabu? Je ni kujifunza kazi za...
Habarini za usiku wana jf
Hivi matokeo ya nacte kwa vyuo vya serikali mbona hayatolewa hasa kwa NTA level 4 ...mpaka Sasa Nimepata kusikia ni baadhi ya vyuo vya private ndo wamepata
Au kuna...
Samahani wakuu, nahitaji kuangalia allocation zetu za 2020/2021 tulizowekewa mwaka jana, zikaonyesha allocation za Miaka mitatu AMBAYO ni 2021, 2022, na 2023
Naingia kwenye system zao sizioni...
True Ink Associates would like to Announce that CISA (Certified Information Systems Auditor) Physical Review Class will start on Monday 01/02/2021, Dar Es Salaam City Center, PSPF TOWERS 17th...
Wadau wa JF
Salam natumaini mu wazima! mimi ni muhitimu wa Masters of Business Administration ( Corporate Management) Mzumbe University kiukweli sioni kama nilijifunza kitu kipya kwenye hiyo...
Kwa nilichokuja kugundua ni kwamba kodi nyingi sasa zinatokea kwenye miamala ya simu tunayotuma na kupokea.
Kwa njia hiyo inamaanisha kwamba zikijikata tu zinaingia, moja kwa moja kwenye akaunti...
Mi nimwanafunzi wa mwaka wa pili wa udaktari
Nlikuwa naomba kama kunamtu yoyote anajua organisation au watu wanao fanya sponsorship au scholarship za masomo hapa Tanzania anisaidie...
Manaake...
Inasikitisha Sana kuona wimbi kubwa la vijana wanasaidia fundi, wengine mama ntilie wengine madereva boda boda, bajaji hivi ndo zao ndo kusema zimeshafifia?
Mimi mmoja wapo Lakin nipo private...
Level ya degree sijasoma kozi ya hesabu (lmv). Lakini nina A ya advanced mathematics naweza kusoma Masters ya Math au Statistics coz ninamsingi mzuri A level
Wakuu,
Kuna thread nimeona inaeleza usawa kati ya waliosoma gvt na pvt katika kupata mkopo
Hapana kabisa, najua watu wanaolipia watoto wao kwa mwaka mmoja 2m-m5 kuanzia nursery had advance ndo...
Habari kaka na dada,
Naomba kujuzwa kuhusu hii course ya Accountancy with IT ambayo inatolewa IAA na IFM vp kuhusu soko lake la ajira na je ipi bora Kati ya BA. In Accountancy na hyo BAIT...
Hv ile QR code iliyochorwa kwenye certificate of secondary education CSEE, ukiiscan unaletewa taarifa zipi?? Kwan unaweza kuletewa softcopy ya cheti chako??
Habari za ndugu zangu
Nimatumaini ya ni wazima,mimi ni muhitimu wa form iv 2014 (nifaulu kwa daraja la tatu) kwa alama ya phy C,chemistry E,math C,bio C,geo C,English B a mengine D yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.