Nauliza kwa wale wanaoendelea mfano mwanafunzi mwaka jana mwanafunzi wa MD kapata tuition fee ya m3.1 je mwaka wa pili mpangilio wake huwa unakuwaje? Wanaweza kumpunguzia kabisa au ndo hatapata tena?
Msaada,
Baada ya ku-apply na kupata nafasi chuo kimoja kwenye dirisha la kwanza lamaombi.., Je Unaweza ku-apply tena chuo kingine kwenye dirisha lingine lamaombi ….??
Wanaotafuta vyumba chuo kikuu cha SUA. Mimi kama mwenyeji wa mazingira hayo lakini kama member wa suaso kupitia uongozi wa chuo kikuu cha SUA, basi ningependa kuwataarifu wanachuo wote...
Habari zenu wadau,
Jamani leo nimekuja hapa tena kwa wenye ufahamu nimepata scholarship ambayo nalipiwa 50% tu
Masters degree in supply chain management
Westford University
Mimi napaswa...
Wakuu Naomba Elimu juu ya Mambo yafuatayo:-
1. Uwekezaji kwa njia ya dijitali (digital investment) hususani katika masuala ya fedha mtandaoni (sijui kama nimepatia tafsiri) Bitcoin investment &...
Wakuu Naomba Elimu juu ya Mambo yafuatayo:-
1. Uwekezaji kwa njia ya dijitali (digital investment) hususani katika masuala ya fedha mtandaoni (sijui kama nimepatia tafsiri) Bitcoin investment &...
Wana jf kuna siku nilikuwa napata serengeti baridi nikiwa iringa na wanafunzi fulani wa vyuo vikuu vya iringa(wanaume) wakawa wanapeana vitisho kwamba mama salma kikwete kawamwaga wasichana karibu...
Anaefaham jinsi ya kupata AVN kutoka NACTE utaratibu ukoje, pleaseeeeee matokeo yametoka leo nataka nipate AVN ili nifanye application leo leo, deadline leo wapendwa, pleaseeee muongozo wa haraka...
Habarini za kazi wapendwa wote
Naomba kufahamishwa kuhusiana na utaratibu au elimu ya chuo tajwa hapo juu
Ningependa kusoma Moja ya kozi , as for now I'm interested in parsuing bachelor of ICT...
Fully Funded Scholarships in Canada 2022 | Study Free in Canada Opportunity DeskFully Funded Scholarships in Canada 2022 | Study Free in Canada
...
Fully Funded Scholarships in Canada 2022 |...
Wakuu habari!
Hivi hii course ya Aircraft Maintenance Engineering inayotolewa na NIT future yake kwa Tanzania ikoje? Je ni dili a dirisha ?
Naomba ushauri.
Thanks
Habari jamii,
Shida yangu mimi nikujua syllabus ya hio kozi mpaka nakuwa fundi mzuri vitu gani natakiwa kusoma
Kwa ngazi ya cheti lakini.
N:b kama kuna mwenye notsi nkizipata ntafurahi sana...
Nimeapply hapo chuoni TIA mwezi wa 3 ngazi ya Certificate nilikua naulizia majibu kwa sisi tulioapply tayari yashatoka?? Na vipi Kama umesahau account yako uliyofungulia utaona wapi majibu...
Kutokana na hali ngumu nimepata kazi katika moja ya vyuo vya ufundi kutokana na elimu yangu ya degree na uzoefu kwenye ujenzi boss kanipa somo la plumbing sasa.
Anataka niandae syllabus.
Mwenye...
mwaka sasa tangu wanafunzi wamalize vyuo vikuu. wengi wa wanafunzi wa UDOM wapo nje na hawana ajira.
Kila interview wanayofanya wanajikuta wanatupwa nje
Habari, jaman naomba ushaur, nimechaguliwa programes 2 ambazo ni BIOTECHNOLOGY AND LABORATORY SCIENCE na COMMERCE IN PROCUREMENT AND LOGISTIC MANAGEMENT. Ni IPI bora kwa upande wa ajira,,?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.