Wakuu,
Leo katika pita pita zangu kwenye mitandao nimevutiwa na taarifa ya rubani mwenye umri mdogo kabisa Tanzania kurusha Boing ambaye ana miaka 21.Na mimi nimeshawishika kuwekeza kwa mtoto...
Wakuu habari!?
Naomba msaada katika ujazaji wa maombi ya mikopo ya elimu ya juu.
Nimejaza vipengele vyote lakini nimekwama katika hatua za mwisho kwenye Declarations and Signature.
Sehemu...
Wana JF nawaombeni msaada mnielekeze.
Mwaka huu nlikua na malengo ya kusomea Bs in Geoinformatic ya Ardhi University ambayo mara nyingi inatolewa miaka minne lakini mwaka huu 2020/2021 nimeona...
Habari wakuu,
Naomba ufafanuzi kuhusu kozi hizi:
Bachelor of Science in Food Science and Technology
Bachelor of Science in Applied Microbiology and Chemistry
Bachelor of Science in Molecular...
Habari za mchana wakuu,
Kuna ndugu yangu alipata GPA ya 2.5 kwenye course ya education. Sasa anataka kusoma masters but open walimwambia lazima awe na GPA 2.7, sasa anauliza afanye nini ili asome...
Wadua habari. Kuna platforms ya kutoa/kupata elimu juu ya mambo mbalimbali.
Unaweza kutoa au kupata elimu hiyo free au kwa kulipia. Kama wewe ndio unatoa elimu kwa kulipia, wadau watakaosoma...
Habarini wakuu natumaini ni wazima,
Naomba nipewe maelekezo hapo kwenye requirements za TCU na Mzumbe university. Picha ya kwanza ni from TCU na ya pili from Mzumbe wametofautiana katika maelezo.
Mwezi mmoja uliopita TAMISEMI waliagiza wakuu wa shule sehemu mbali mbali watume majina ya walimu wanaojitolea; katika tangazo lao hawakubainisha kwa ajili ya nini, lakini LOGIC ikawa ni hitaji la...
Wana JF.
Basi, ikiwa zimebaki siku chache ili wanafunzi wa kidato cha sita waanze mitihani ya kumaliza elimu ya juu ya Sekondari, ni muhimu sasa kuwapa ushauri wakasome kozi ipi itakayowasaidia...
Kwa anayeelewa juu ya Jambo Hili inakuajeh kuna effect zozote kwa muombaji maake ukiandika namba ya shule inaleta jina but ukiprint form inakuja sehemu ya advance pameandikwa school name not found
Naamini mu wazima wa afya. Nlikuwa naomba msaada wa utofauti kati ya Wildlife Management na Tourism Management. Naona ni course tofauti zipo SUA ila sijazielewa.
Karibuni sana
TCU wanataka PHY, CHM, BIO, B/MATH na ENG yote uwe na angalau alama D
ila
Mm Clinical medicine diploma nna GPA -4.6
O_level
Phy-C
Chm-C
Bio-C
Eng-E
B/Math-F
Jamani,kuna shule ya kikatolic ya masista wa mt Mary huko Kisarawe, Wengi wanaoiendesha hiyo shule ni masista wa ki filipino.Cardinaly Pengo alitoa hekari 150,ili wajenge hiyo shule, Inachukuwa...
Habar zenyu wana JF!
Naomba msaad wenu kwa vyuo vizur ambavyo naweza soma IT au computer science nikatoka na uzoef(theory and practical) ambao utanifany nifanikiwe katka fani hizo either kwa...
Wakuu samahan, nataka kujua kwa mtu anayeelewa zaid kuhusu hiki chuo cha DIT anambie ni wanafunzi wangap wa mechanical engineering hiki chuo kinaweza kubeba?
Chuo cha Uhasibu cha Arusha,IAA kimetoa ufafanuzi juu ya taarifa zilizo sambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba wanafunzi wa chuo hicho wameandamana usiku wakidai fedha za mikopo kutoka bodi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.