TCU wanataka PHY, CHM, BIO, B/MATH na ENG yote uwe na angalau alama D
Ila mimi Clinical Medicine diploma nna GPA -4.6
O_level
Phy-C
Chm-C
Bio-C
Eng-E
B/Math-F
Wadau habari,
Kuna ambaye ameshafanya application za kuomba chuo SUA mwaka huu wa masomo 2020/2021 mana kunachangamoto moja ambayo nimekutana nayo mimi baada ya kuomba SUA mwaka huu kwenye A/C...
THE UNIVERSITY OF DODOMA
OFFICE OF THE DEPUTY VICE CHANCELLOR
ACADEMIC RESEARCH AND CONSULTANCY
INVITATION TO APPLY FOR ADMISSION INTO UNDERGRADUATE DEGREE PROGRAMMES FOR THE ACADEMIC...
Juzi juzi niliandika haya baada ya kusoma tangazo la udahili la UDOM
Masiya
JF-Expert Member
Apr 2, 20126,6512,000
Monday at 1:27 PM
Add bookmark
#5
Kama umegundua kuwa UDOM wamefutilia mbali...
Tuna uhitaji na Mwalimu wa FOOD AND NUTRITION kwa O-Level. Shule ni ya Wasichana na ipo Mtwara manispaa. Kwa maelezo zaidi, naomba tuwasiliane: 0745737287
Ni kwa muda sasa umekuwepo unyanyapaaji mkubwa kwa watu wanaoshindwa masomo ya sekondari maarufu kama ''div zero''
wanaitwa kila majina ya hovyo kama wamezungusha vilaza na mambo ya ajabu ajabu...
Habari wana JF,
Ningependa kuuliza, mwanafunzi ambaye hakupata chuo mwaka 2019 ila sasa anaomba na anakutana na shida kuwa taari asha sajiiliwa inakuwaje je ndo mfumo wa sasa hivi na afanyaje...
Habari za leo wakuu wa Jamii Forum,
Nimatumaini yangu kuwa mnaendelea na harakati za kutafuta maisha ,nilikuwa naomba kama kuna mtu anafahamu chuo chochote mtu anaweza kusomea mambo haya...
Tupia kisa chako kilichokua kinakuudhi kipindi upo high school
Cha kwangu kilichokua kinaniudhi ni ile tabia ya baadhi ya wanafunzi maarufu kama wasongo kujua ratiba zote za shule kubwa kubwa mf...
Jamani wana jf naomben msaada wenu nimechoka kukaa nyumbani hvi ni lin zitatoka second selection za form five
Mwaka jana zilitoka 23rd aug...xx mwaka uuh naona kmya mno xx cjui imekuaje make...
Mimi tangu nianze kuomba misaada ya kielimu humu ndani sijawahi kusaidiwa hata kidogo mfano kuna siku niliomba mwenyewe ana Link ya vitabu vya CPA mpaka Leo kimya na members wapo tuu pia niliomba...
Ndugu walimu wenzangu, kutoka pembe mbalimbali za nchi hii. Ninakuja kwenu kwa unyenyekevu nikiomba kwa mwenye papers za masomo yafuatayo, Basic Mathematics, Physics, Chemistry, Biology...
Habari zenu wakuu? ...
Huu ni wakati ambapo vyuo vikuu vingi vimeanza kupokea maombi ya kujiunga na kozi mbalimbali, na baadhi ya watu wanapata shida jinsi gani wanaweza kuomba vyuo wanavyotaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.