Habari Wana jamvi,Naomba kufahamishwa,Je ada kwa mwanafunzi aliyechaguliwa na tamisemi kujiunga na chip kwa ngazi ya diploma,Je ada ni tofauti na aliyeomba moja kwa moja Nacte?
Habari za muda huu wakuu,
Nataka nifungue studio ambayo ina deal na masuala ya motion graphics hususan mambo ya 3d pamoja na 2d sasa natafuta mtu ambae mwenye uzoefu wa kutosha ambae ninaweza...
Mfumo wa uombaji wa nafasi za mafunzo ya ualimu katika ngazi ya stashahada umefunguliwa. Kama una ndugu au jamaa mtaarifu ikiwa anavigezo vilivyoanishwa anaweza kutuma maombi. Ili kuweza kuona...
Wadogo zangu mnaotarajia kuingia vyuoni, mkasome kwa bidii zote ila kuna siku mtakuja kugundua, tunahitaji PESA na wala sio GPA , na mrundikano wa ma VYETI.
Ni hayo tu lakini.
Habari wakubwa,
Poleni kwa majukumu. Naomba msaada kwa mtu mwenye syllabus ya somo la kingerezaa darasa 4 either kwa picha au hata pdf.
Natanguliza shukrani.
Samahani Wapendwa mimi Ni muhitimu wa kidato Cha sita mwaka huu(2020) nilisoma PCB na nimepata DDD nina two ya 12, Nauliza kama Kuna uwezekano wa kupata Course ya bachelor in Medical Laboratory...
Hii si sauti ya kwanza kupazwa juu ya mfumo wa elimu unaoonekana kupwaya katika kukidhi haja na maono ya watanzania. Ni mfumo tulioachiwa na Waingereza 1961 uliolenga kupata vijana wachache...
Wakuu habari ya jumapili Nina mdogo wangu kasoma kozi ya laboratory science and technology chuo cha ualimu Monduli ngazi ya diploma kahitimu mwaka Jana 2019 , sasa naomba kuuliza je anaweza kuomba...
Habari zenu wakuu,
Mwenye ufahamu wa hizi course mbili ipi Ina unafuu kutokana na Hali ya Sasa ya changamoto ya ajira Kati ya -Water resources and irrigation engineering au laboratory science au...
Habarini na poleni na majukumu ya kujenga taifa.
Ndugu zangu,natamani kujifunza ufundi wa aina yoyote kama finishing n.k, jamani ndugu zangu mafundi natafuta fundi yoyote wa kunisaidia ujuzi...
Habari, wana JF!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu... Nahitaji mawazo yenu.
Nina ndugu yangu hawezi kusoma kozi za afya kwa ngazi ya stashahada kwa sababu ya E kwenye Biology...
Habari wanajamvi poleni kwa majukumu ya hapa na pale.
Samahani naomba ushauri nilipangiwa certificate mwaka Jana lakini nilisoma semester moja ya pili sikuweza kumalizia ada kwaiyo sikuisoma.
je...
Wakuu kwema?
Naomba nifahamu gharama ya ada na gharama za hostel kwa vyuo vya kilimo vilivyo chini ya wizara ya kilimo hususani chuo cha ilonga-kilosa na Naliendele mtwara
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.