Habari wakuu,
Mim nimemaliza kidato cha 6 mwaka huu comb ya CBG, nimepata hivi:
Chem D
Bios E
Geo D
Nilikua nauliza: Je, naweza somea (IT na Environmental Science) pya msaaada course zingine...
TCU ilipandisha cut off points kwa ajili ya kujiunga na kozi za afya kwa digrii na kuwa 8 yaani C, C na D badala ya D, D na S. Kwa maoni yangu sioni ulazima wa kutaka MTU apate D ya physics kama...
Wadau wa JF habari zenu,
Mimi kijana wenu leo naomba kujuzwa ni chuo gani kwa hapa Dar kinatoa kozi hii ya Diagnostic Radiography kwa ngazi ya Diploma.
Udahili unaanza tar ngapi kwa mwaka huu wa...
Wakuu Samahani,
Kama kichwa kinavyojieleza apo juu. Kuna chalii apa kapata div 3 ya 15 yani ana CEF vp anaweza pata chuo asome degree au aanzie diploma
Habari wanajamvi,
Natumaini tuko salama. Bila kupoteza muda naomba kujua kama kuna mkeka (forum) ya wanavyuo, ambako wanashare fursa nk. Kama kuna anayefahamu, tuonane inbox.
Ilikuwa ni mwaka 2009 ile tunahangaika kupata admission za vyuo. Mimi programme zote nikaomba UDSM nikijiamini na One yangu ya 9. Mwanangu mmoja akanionya kuwa omba na chuo kingine kimoja kati ya...
"Kusoma elimu ya chuo kikuu ni upuuzi sana, ni kupoteza muda kijinga"
Nimenukuu jamaa akisema hayo maneno hapa Stationary nikiwa natoa copy sijui kwanini kaongea vile.
Habari za jioni,
Nimeulizwa na Bwana Mdogo kuhusu hii kozi inayotolewa Chuo kikuu Cha Dar es Salaam upande fursa za kujiajiripamoja pia na kuajiriwa na public sector pamoja na private sector.
One can define the word "success" the way it fit him. Success can not be defined by one sentence, it is comprised of many things depending on the individual.
- According to Oxford dictionary...
binafsi nimekuwa muathirika wa ongezeko la GPA kwa diploma holders wanaotaka kwenda Chuo Kikuu .Nina diploma ya clinical officer kwenye provisional transcript nina GPA ya 2.7.
Lakini kuna kitu...
Nimelipia Application fee halafu mfumo wenu unasema bado sijalipa na kuonesha control namba hiyo hiyo niliyoitumia kulipia.
Nimewasilisha tatizo langu kwenu mnasema mnalifanyia kazi tangu saa 7...
Binafsi tumezoea kuona miaka yote bodi ya mikopo inafungua dirisha kwa Mara ya kwanza na wanafunzi wanatuma maombi then baada ya kufika deadline dirisha linafungwa.
Baada ya dirisha kufungwa...
Heshima kwenu wakuu!
Leo nimeamua kuja na maoni yangu Binafsi kuhusu wale wanaochaguliwa kujiunga na Diploma ya Kozi mbalimbali,Mimi binafsi sikubaliani na suala la Mtu alie Maliza KIDATO CHA NNE...
Nimemaliza kidato Cha sita 2020 CBG, Div 1.7 kwa matokeo haya:
Chemistry - A
Biology - C
Geography - C
BAM - B
Je, naweza kupata course ya Environmental Health Science pale Muhimbili ukizingatia...
Habari,
Nauliza naweza peleka malalamiko yangu sehemu ipi. Ni hivi chuo akitaki kuweka motokeo yangu nacte toka mwaka jana nimekosa kuendelea na chuo kikuu na mwaka huu awajaweka kila siku...
KWA MARA NYINGINE TENA....
Ni faraja iliyoje tena kwa mkoa wa KAGERA kuendelea kufanya vizur kwa matokeo tena ya kidato cha NNE yaliyotangazwa Jana ...mtiha huu ulifanyika mwaka Jana 2016 na...
Habari za wakati huu wanajukwaa,
Naomba nifahamishwe kuwa naweza kutoka college moja kuhamia nyingine baada ya kumaliza semester moja au ndio hadi nimalize mwaka?
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.