Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wiki iliyopita nilipata nafasi ya kuchakata maombi ya kazi ya taasisi moja binafsi hapa nchini. Maombi takribani 450 yalipokelewa ya wahitimu wa vyuo mbali mbali. Ninashauri tufikirie namna...
30 Reactions
33 Replies
6K Views
Huyu ana pass hizi PCB combination EED, je anaweza kwenda Chuo Kikuu chochote Tanzania?
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Kusema ukweli mwalimu mpaka aje kuwa headmaster ni ngumu sababu wapo wengi na mpaka mkuu wa shule aje kustaafu ina maana na mwalimu wa kawaida anastaafu. Sasa kwanini kila shule isiwe na wakuu...
0 Reactions
1 Replies
815 Views
Hello wana JF, habari za jion? Nilitaka kujua ni lini tunaweza kupata AVN number sababu nilikuwa na supplimentary matokeo yalitoka mwezi wa kumi tarehe 5 nikawa nimeclear na wakawa wameyatuma...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Naombeni mnielekeze nimemaliza diploma na nahitaji kuapply chuo ila kuna sehemu inataka niweke AVN. Je, naipataje hiyo na chuo ni mbali?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wazee I.T naombeni msaada wenu, Simu yangu ina support 4G lite na nimeitumia kwa mda mrefu na huu ni mwezi wa tatu natumia 4G, ila sasa leo ni wiki 4G haipandi wala 3G inayo panda sasa ni 2G...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pole na majukum wakuu, Nimemaliza kidato cha sita Mwaka huu nataman sana kusoma Kozi ya wildlife management. Je ni chuo gan kitanifaa kwa Kozi hiyo. Natanguliza shukran zangu za dhati Ma GT
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wakuu shule zinazofundisha kichina ni zipi?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wapendwa wa jamii forum Yaani nimepata stress nimekosea email wakati nikifanya usajili wa kuomba degree..Sasa Kuna namba moja TU nimesahau nikajua nipo right mpaka naweka password. Nikawa tayari...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wajumbee wa UDSM toeni ushaurii hapa! Kuna dogo amepata GPA ya 3.4 anawish ku-apply UDSM, vp anaweza kupata au utapoteza 10000 yake amemaliza chuo cha Ualim, anataka akachukue kozi ya Mathematics...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Swali la 25
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Mimi ni mwananfunzi wa mwaka wa 2, nasoma Kozi ya Bachelor's in B'ness Administration(BBA). Ningependa kushare nanyi katika hili. Naomba kufahamu briefly au shortly, naweza kusoma Master's ya...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Poleni na majukumu. Mpwa wangu amepata matokeo haya. Naomba ushauri wenu Civics- D, Hist-F, Geo-F, Kisw-D, Engl-F, Phy-F, Chem-F, Bio-D, B/Math-F. Ushauri wenu unahitajika sana
1 Reactions
9 Replies
997 Views
Kwa mujibu wa TCU, miongoni mwa vigezo vya kusoma ngazi ya degree ni watu wa foundation programme kutoka OUT maajabu yaliopo baaadhi ya vyuo kama DIT, ARU hawachukui kabisa watu wa foundation sasa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari, kama nilivozungumzia kwenye kichwa cha habari. Nina shida na mawasiliano ya TAMISEMI kwa anayeelewa niingieje kwenye website yao au email yao, vilevile sina email yao wala website...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimepata nafasi ya kufanya field halmashauri ya manispaa ya ilala Kama una ushauri au chochote cha kuniambia maybe cha kuzingatia. Thanks in advance
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imefungua dirisha la maombi ya udahili wa Shahada ya Kwanza, mwaka wa masomo 2020/21. Mtendaji wa TCU, Prof. Charles Kihampa amesema dirisha la kwanza la...
3 Reactions
22 Replies
6K Views
Hellow habari za mida hii wanajamvi natumai mungu anajalia uzima kwanza kwa majina naitwa Derrick Deo nimekuja mbele yenu na baadhi ya maswali ambayo nahitaji usadizi wenu kwa njia yeyote samahani...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wana jamvi!, Eeh kuna mdogo wangu yupo Chuo mwaka wa Kwanza diploma-Clinical Officer (VYUO VILIVYOPO CHINI YA NACTE)! Sasa nataka kumuhamishia chuo kingine ila tatizo sina...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Wasalaam ndugu wanajukwaa Mimi ni mhitimu wa chuo ngazi ya shahada, kozi ya ya Teknolojia ya Habari na Mifumo( Information Technology and System) inayotolewa Mzumbe Chuo kikuu, nina Gpa ya daraja...
2 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom