Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wakuu Bwana mdogo kapata div 1 ya 9 pccb ana C flat anaweza chaguliwa chuo cha serikali Course y medical officer??
0 Reactions
80 Replies
15K Views
Habari wakuu natumaini wazima Niende moja kwa moja kwenye mada kiufupi mtoto wa kaka yangu yaani mtoto wangu Mimi kama mnavyojua matokeo yametoka Jana ila sio mazuri amepata div3. Pts16 ya PCB...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
tanzania tuna vyuo vingi sana lakini nashanga sijui kwanini fani hizi tanzania hadi leo hiii fani hazitolewi katika vyuo vyetu ........ 1.degree na diploma za graphics designs 2.degree na...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Habari za leo wakuu, Natumai mu wazima wa afya tele. Lakini pia poleni na mihangaiko ya kulisaka tonge. Sasa ni hivi, leo wakati naperuzi makabrasha yangu kichwani nimejikuta napata wazo hili...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenye past paper za Physics, Chemistry na Biology za form six 2020 anitupie inbox
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kwa uwezo wa aliye juu ni imani yangu kuwa wote tuko salama. Wakuu nimekuwa member kwa miaka kadhaa sasa japo sikuwa nimejisajili lkn nimekuwa nikisoma mada mbalimbali za wadau na ukweli ni...
0 Reactions
0 Replies
849 Views
Naomba kufahamu vigezo vinavyoangaliwa kama unataka kusomea IT na vyuo husika Tanzania vinavyotoa hii course Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wadau, mm nilikuwa nafanya field, wizara moja hivi nimemaliza nataka kuandika report hebu tusaidiane juu ya hili.
0 Reactions
7 Replies
17K Views
Nauliza result slip za 2020 zinatoka lini na ili uipate kwa sasa nifanyeje. Naulizia za kidato Cha sita 2020.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu ninaomba mtu anayefahamu Shule ya Sekondari ya Bweni inayofundisha michezo pia iwe nzuri kwenye taaluma. Kijana wangu anamaliza Darasa la Saba na anapenda sana michezo na anacheza Mpira wa...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Salamu wakubwa, naomba mnikaribishe kwenye jukwaa pendwa la elimu na JamiiForums kwa ujumla. Niende kwenye Mada, mimi ni mwalimu wa shule ya msingi ngazi ya cheti GPA ya 3.9 Na niko kwenye ajira...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habarini wadau wote wa sekta ya afya, pia wanazuoni wote toka kila pande ya Tanzania! Karibuni sana katika uzi (thread) huu unaohusu masuala mengi kuhusu Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi Shirikishi...
8 Reactions
63 Replies
26K Views
Wadau Habari za Leo. Mwenzenu nimekwama kwenye kuomba kazi ya ualimu kwa mfumo wa TAMISEMI. Nilifungua account na kila nikilog in inagoma kabisa inaniandikia wrong credentials. Nikijaribu kwenda...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Sina shaka kwamaba kila mmoja wenu ni mzima wa afya. Wakuu mimi nauliza kwamba hii course ya bachelor of commerce in tourism ambayo ni mpya pale UDSM, ambako ndipo nilipopangwa, mnaionaje...
0 Reactions
38 Replies
11K Views
Husika na mada tajwa hapo juu, Mimi ni kijana mwenye miaka 25 nimehitimu diploma ya clinical medicine mwaka juzi na kufanikiwa kupata GPA ya 3.8, japo malengo yangu yangu hayakuwa hayo.. O level...
0 Reactions
49 Replies
18K Views
Nitakwenda moja kwa moja kwenye mada bila kupoteza muda. Naomba Wizara ya Elimu itoe muongozo juu ya muda wa kukaa darasani kwa watoto wetu. Ni kweli shule zina Bodi, lakini tukumbuke hakuna...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika dunia ya leo ya habari (information age) fedha ni muhimu sana. Je, ni kwanini mfumo wetu wa elimu hautoi fursa kwa wanafunzi kujua mfumo na tabia ya fedha katika dunia na uchumi wa kibepari...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
BACHELOR OF ARTS IN LAW ENFORCEMENT UDSM. UFAHAMU JUU SHAHADA YA USIMAMIZI WA SHERIA INAYOTOLEWA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM UTANGULIZI Usimamizi wa sheria kama taaluma inayotolewa katika...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari waungwana. Hivi wadau shule za elimu maalum ndo usajili wake umeanza na EM. *****?
0 Reactions
0 Replies
547 Views
Back
Top Bottom