Salaaam
Naomba kuuliza hivi ukisoma kozi ya rural au community development unaweza kuajiriwa kama nan labda
BT kama nikikosa ajira najua cha kufanya so naomba tu huo msaada.
Ova
MAENEO NANE MUHIMU YA MTAALA NGAZI YA DARASA.
Ulishawahi kuwaza kufanya kazi ya kutunga sera na kufanya maamuzi?. Ipi unadhani ingefaa kuwa sera bora ya elimu katika nchi yako? na vitu gani...
Wakuu salaam zenu,
Ndugu nakijana wangu anasomaa Degree ya Human Resource, sasa wako kwenye kuandika research kaniomba nimsaidie kumtaftia mada ya kureseach. Naomba tu-brainstom kidogo ilinipate...
habari za uzima wana jamvi.
September 3 2020 waziri wa Tamisemi Seleman Jafo alitangaza nafasi za walimu msingi na sekondari.
Alidai dirisha litafunguliwa tar7 yani leo.
Sasa shida iko hivi,huu...
Ndugu wana jf naombeni msaada kwa mwenye kujua specifications za transceiver zinazotumiwa na mitandao ya simu kwenye minara,ya voda , airtel and ttcl please help
Habari za jioni wana jf,
Naomba kufahamu ofisi za Nacte kwa mkoa wa Dodoma zipo wapi? Mimi ni mgeni mkoa huu nahitaji kufika ktk ofisi zao siku ya kesho Jumanne.
Kule kwenye application kuna masomo mawili haya English na English language, ukichagua English zinakuja Primary Schools na English language zinakuja Secondary School, swali kwa wazoefu, tunaomba...
Hello wanajamvi,
Nafamahu kuwa Tanzania is gifted na wabobezi katika masuala ya MIS. Natafuta school system yenye sifa zifuatazo:
Iwe na uwezo wa kumanage student records na kupring ID cards
Iwe...
Kumekuwa na mlolongo juu ya minimum point zinazokuwezesha kuchukua degree. Mwaka Jana kuna rafiki yangu wa o level alipata E E C, mda wa kuomba vyuo nikamwuliza umechagua vyuo gani akaniambia hana...
My name is Augustine, Minister of Education at St. Joseph College of Health Sciences.
I am proud to welcome you into our beautiful campus situated at Boko Dovya, Small Town on Dar es salaam...
Habari wakubwa!
Najua wengi wetu tumefocus kwenye uchaguzi wa mwaka huu! Ila napenda tuje na kujadili kuhusu maisha!!
Kuna biashaa ya kufanya:
1. Michezo ya kubahatisha (betting rooms)
Mashine...
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza kufungwa kwa dirisha la maombi ya mikopo kwa njia ya mtandao kwa mwaka wa masomo 2020 ambapo hadi kufikia leo Septemba 10, 2020...
The above matter refers.
I am writing here to invite all Master and PhD students who are pursuing various degree Programmes, and are struggling with their research proposal, writing their...
Habari kwa wote hapa jukwaani,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Kama mnavyojua hili suala kuomba mkopo liko very complicated tena kama uko nje ya mji/kijiji halisi ulichozaliwa. Let say now upo...
TCU hongereni sana kwa jitihada za kusimamia utoaji wa taaluma na uendeshaji wa vyuo vikuu nchini. Kwavyovyote vile kazi yenu sio ndogo. Hongereni sana pia kwa kutoa miongozo mbalimbali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.