Habari za wakati huu,
Wakati tukisubiri selection za vyuo vikuu kwa mwaka wa masomo, Nina ambition ya kusoma kozi mbili.
Political science and public administration pamoja na bachelor in laws...
Habari za asubuhi wana jamvi.
Wiki kadhaa zilizopita chuo kikuu KCMC walitangaza nafasi za tutorial assistants na assistant lecturers wa kada mbalimbali. Mimi binafsi nilituma maombi ya nafasi...
Jamani ndugu zangu nilikuwa naomba kujuzwa juu ya hili jambo nipate uhakika sio kubahatisha bahatisha maana nimeambiwa na wengi sana hili jambo.
Je, hivi ni kweli kwamba watu wanaosoma Diploma ya...
Swali la shule ya msingi nimeulizwa na binti yangu nikachemka.
Naombeni msaada wenu.
Swali.
The average of three numbers is 48.The average of two of them is 45.Find the third number.
Tafuta namba zinazoweza kukaa kwenye izo box [] ili kukupa jibu katika pande zote mbili juu na chini
Njooni tupashe damu.
Find the value of
A, B, C and D?
A ship sails due west at 20km/h. It passes due south of point A at 10.00 Am. At 10.30 Am, the bearing of A from the ship is N45E. Find the distance of A from the Ship at both stated times...
Nimemaliza O-level 2013 na matokeo yakawa mazuri hadi kupelekea kuchaguliwa PCM Yalikuwa ni Math B+, BIO B, CHEM B, PHY D, HIST B, GEO B, CIV C, ENG C, LIT D, KISW B Ila advance nmetoka na SSE...
1 Kwanza kabisa utofauti uliopo kati course ya law enforcement na law yenyewe
2. Napenda kufahamu zaid juu ya judge anasoma coz gan na anakua na elimu gan mpak kuitwa judge
3. Utofauti wa kazi ya...
Habari wakuu,
Mimi ni graduate wa nimesoma uhasibu(degree ua kwanza), wakati tunasoma kuna watu walikuja chuoni kutafuta wanaotaka kujifinza accounting packages,ila hawakufanikiwa kuendesha...
Naomba, kama kuna mtu amechaguliwa Mbeya Collage of health and allied sciences kwa diploma courses na akafanikiwa kupata joining instructions au mawasiliano na uongozi wa chuo hicho, anisaidie.
CALL FOR SCHOLARSHIP APPLICATIONS
FROM NATIONALS OF EAST AFRICAN COMMUNITY PARTNER STATES TO PURSUE KFW- FUNDED MASTER’S STUDIES (COHORT 2) IN AN EAC PARTNER STATE OTHER THAN THEIR OWN
Opening...
Mimi ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka 2020 mchepuo wa PCB Dv. I-8. Nina ndoto za kuja kuwa Daktari. Katika kozi hizo mbili MD na DDS napata wakati mgumu wa kufanya Decision mimi niko flexible...
Nimemaliza kidato Cha 6 nimepata div. 4 point 18 yaani E, S kwakuwa ndoto zangu zilikuwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu na kurudia mtihani wa kidato Cha 6 sitaki, je nikisoma foundation...
●Kondakta kumsimamisha mwanafunzi kutoka kwenye siti ili aketi mtu mzima ni heshima.
●Je, maskini kusimamishwa aketi tajiri tutaitaje??
■Ngoja niwape mkasa wa hivi karibuni jinsi maskini anavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.