Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kuna mdogo Wangu wa kike kamaliza form six mwaka huu na kupata division two ya point 10 kwa combination ya PCB. Kwa Hali iliyopo sasa hivi pamoja na competition kubwa kwa kozi za afya hasa...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Sorry wakubwa wang wa jf nimebahatika kuchaguliwa kozi za science in quantity survey and construction economics pal ardh pia science ya mathematics and statistics pale udom..kozi zote nazipenda...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau nawaomba mnsaidie msaada wa mawazo, Kwamba niapply kozi gan ambazo zitakuwa hazna ushindan kwa round ya pili? Mim nimepanga niapply kwenda kusoma shahada ya ualimu kwa masomo ya Physics na...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Tunamwomba Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli. Aangalie diploma maalum ya sekondari iliyodahiliwa mwaka 2018 kwa vyuo kama Songea, Tukuyu,kleru,mpwapwa na korogwe.maana wanapata wakati mgumu...
0 Reactions
3 Replies
887 Views
Mbinu ipi ya kutumia kufanya application ili npate chuo? Je, kuapply vyuo vingi ni njia moja wapo itakayokufanya upate chuo?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mpaka leo hii nchi yetu haina sera mahususi inayo elezea matumizi ya lugha ya kufundishia kwa wanafungu katika ngazi mbalimbali za kielimu hapa nchini. Hii hupelekea watoto wengi sana hasa...
0 Reactions
0 Replies
647 Views
Nakumbuka 2013 nilipomaliza elimu ya sekondari (O'level) Ni baada ya kufukuzwa shule tatu tofauti,Kibasila,Kisarawe lutheran, jitegemee, kishakumalizia shule huko mkuranga shule x. Sikuwa vibaya...
1 Reactions
2 Replies
876 Views
Poleni na majukumu ya hapa na pale JAMANI mdogo wangu amechaguliwa kozi hyo ya Human Nutrition ila yeye roho haitaki kabisa na kachaguliwa SUA kozi hyo na ni chuo hicho hicho tu hajachaguliwa kozi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ushauri plz : mechanical ( NIT) Vs Electrical (MUST) ipi kozi nzuri zaidi zote anazipenda
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Wakuu naombeni mnijuze kwamba ni lini HESLB watatangaza majina ya waliopata mkopo kwasababu sisi watoto wa wakulima hapo ndipo jicho letu lilipo no mkopo no chuo naombeni mnijuze kwasababu chuo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Tunakubali dawa ya deni ni kulipa, lakini kuweka misingi na masharti ya kuongeza deni kila mwaka sio haki hata kidogo. Tena kuongeza sheria ambayo hamkukubaliana na mlengwa awali kwa kutunga...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Lex: Lead Annual Essay Competition 2017 for Students in Developing Countries Announcement Lex:lead is again happy to announce a scholarship competition for students in developing countries. Up to...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu mliohitimu kidato cha sita mnategemea kwenda kusoma elimu ya juu, kuweni makini na kile mnachotaka kwenda kusoma, Maamuzi ya siku moja yanaweza yakagharimu maisha yako yote ya kila...
5 Reactions
41 Replies
8K Views
Habari wanazuoni wa jukwaa la elimu Najaribu kujiuliza tuu....... Hivi bado kuna wanafunzi wameomba udahili wa Course za Education tena Arts????? Na changamoto zote hizi kwenye Tasnia ya Ualimu...
5 Reactions
45 Replies
8K Views
Nimepitia masharti niliyosaini katika mkataba wa kuomba mpoto wa kufadhiri masomo yangu ya elimu ya juu,kati yangu na Bodi ya mikopo (HESLB) nimegundua sikuelewa na hata kama ningeelewa ningesaini...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu..majibu ya Diploma kwa mfumo wa TCU yanatoka lini msaada please
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Yani ukienda manispaa mpaka uhudumiwe unakua umepitia mengi sana. Leo nmeenda manispaa ya temeke yani unaslimia mtu kwa kumwangalia amekula chumvi nyingi sana lakini hataki shikamoo anataka mambo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari ya asubuhi wadau, Kwa wale walionufaika na mikopo ya elimu ya juu, kuna wito umetolewa wa wanufaika kujitokeza ili kuanza kulipa mikopo yako. Kuna suala la Value retention fee ya 6% kwa...
2 Reactions
118 Replies
26K Views
Habari waheshimiwa. Kuna mwalimu anadhamiria kutengeneza simple notes kwenye baadhi ya masomo kama vile Secretarial Course, Nursery Teacher na Hair Dressing. Lengo lake ni kutengeneza Simple and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom