Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wakuu! Yaweza kuwa umebahatika kuwa na riwaya iliyokatika mfumo wa soft copy na imeandikwa kwa kiswahili. Kama jibu ni ndio tafadhari sana share na wengine tuifaidi.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu TAMISEMI walivyotoa majina ya kujiunga na kidato cha tano na chuo, mwanangu amechaguliwa kwenda Chuo cha Maendeleo ya Jamii Iringa. Nilitaka kufahamu utaratibu wa kujiunga anatakiwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimejaribu kuingia website ya NACTE kwenye upande wa Student Information Verification System. Mara ya kwanza registration status ilisoma Postponed saiv imesoma Terminated, nijuzeni tofauti ya haya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana bodi heshima mbele! Natafuta Mtanzania aliye soma hiyo kozi (BSc in Clinical Medicine)na anafanya kazi.Ikumbukwe kuwa kozi hiyo haitolewi na chuo chochote hapa Tanzania Ingawaje mwaka...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ndugu zanguni, kwa wale tuliofanya supplimentary. Naomba kujua kama matokeo tayari yashatoka. Mwenye habari basi atujuze tuweze kuangalia, kwenye Aris yangu inaonyesha bado.Labda kuna mtu anaweza...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kuna ukweli au ni kutokusoma kwa wanafunzi wetu?
0 Reactions
72 Replies
17K Views
Mdogo wangu amemaliza kidato cha nne na kupata DvsnIII 25 CIVICS - 'C' HISTORY - 'C' GEOGRAPHY - 'C' KISWAHILI- 'C' ENGLISH - 'D' BIOLOGY - 'D' B/MATH - 'F' tukasubiria labda anaweza kupata...
0 Reactions
13 Replies
10K Views
Habari, Naomba kujuzwa kwa yeyote mwenye experience au hata ambaye hana experience lakini maybe alisikia sehemu kuhusu field mkoa wa Dar es Salaam. Mambo ninayohitaji kujua: 1: Ofisi zote ambazo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chuo cha ualimu elimu maalumu PATANDI nichuo pekee Tanzania kinachohusika na utoaji wa elimu kwa watoto wenye ulemavu..Chuo hiki kinatoa fani kuu tatu ambazo ni:- 1-uziwi(hearing impaired)...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Hatimaye walimu wa hisabati na sayansi wamepangiwa vituo vya kazi, ambapo walimu wapya 3,081 wakiwamo 1,544 wa wangazi ya shahada na walimu 1,537 wa stashahada. Walimu hao wanatakiwa kuripoti...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Ni siku ya tatu leo nimewanunulia ipad kwa ajili ya michezo na masomo imepasuka kioo. Idadi ya vitu walivyoharibu ndani ya nyumba havihesabiki kuanzia kioo cha televisheni n.k. Enyi wana jamvi...
6 Reactions
49 Replies
4K Views
Kwa anaejua shule nzuri za advance (private) kwa mkoa wa Mwanza naomba anisaidie majina ya shule husika, ada, pamoja na mahali zinapopatikana (mitaa). NB: Mwanafunzi anayetafutiwa shule ni jinsia...
0 Reactions
29 Replies
9K Views
Civics=C History=C. Biology=C Chemistry=C English=C. Kiswahili=C. Geography=D. Math=F. Div(III) point 22. 2019. Ushauri wenu muhimu wadau katika kufanya maamuzi
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jinsia ya kike Amemliza 2019 matokeo yapo kama hivi civics C Bios C Chemi D English C Geo C Hist D Kiswah C Math F Phy D Amechaguliwa INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING - DODOMABTCRDP -...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari za muda huu, Kwa sasa nipo darasani nafundisha shule za awali, hapa darasani kuna wanafunzi kama wawili, yaani nimetumia mbinu zote za ualimu ili hawa watoto waweze kukumbuka masomo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, Naomba kujuzwa kama kuna chuo kinachotoa kozi za kilimo mtandaoni kwa hapa Tanzania au nchi za Afrika tafadhali. Asanteni.
0 Reactions
2 Replies
845 Views
WanaJF habari zenu,naombeni kufahamu kuhusu shule ya minaki mwanangu kachaguliwa nataka kumpeleka.Je mazingira yapo vizuri kuruhusu mwanafunzi kusoma vema? Na walimu wapo?
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Kama wewe ni mwanafunzi unaesoma kada ya afya,iwe udakitari,maabara,famasia na kadhalika download hii app itakusaidia kujua Mambo mbalimbali, app ina mbs 80 inapatikana Google play store,
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Tangu awamu ya tano iingie madarakani kuna mabadiliko mengi katika sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu. Binafsi kama mtanzania mzalendo nahuzunishwa na tabia za baadhi ya taasisi za elimu...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom