Mdogo angu amemaliza kidato cha nne mwaka jana 2019 ila amepangiwa katika chuo cha Ushirika cha Moshi ila katika cumpus ya Kizumbi iliyopo Shinyanga.
Swali langu ni kwamba!
Kuna uwezekano wa yeye...
Je, ni kozi hipi ya afya yenye soko at moment itakayo nifaa kwa ufahuru wangu huu;
Bio-. C
Chem- D
Geography- C
Physics -D
English- C
Kisw - B
History - C
Math-. F
Civic- C
Literally-C
Division...
Nasoma lakini katika kusoma kwangu nimezoea kujibu jibu maswali hadi inafika muda mwalimu ananiambia nipumzike lakini sio kusema kwamba wengine hawajui sijui kwao ni hofu kujibu au hawajisikii...
Habari wanaJamiiForums,
Mimi naomba kuuliza ni short coz gani nzuri za computer ambazo naweza kusoma kwa muda mfupi na zinazoweza leta faida kwangu
Ushauri Tafadhari.
Wana JF,
Tarehe 29 shule zote zinaenda kufinguliwa, ila Changamoto kwa upande wangu ni haya masaa mawili yaliyoongezwa, Kwa mwalimu anaekaa Mbagala af kazi anafanyia Makumbusho cna uhakika kama...
Habari,
Mwanafunzi wangu alohitimu kidato cha nne mwaka jana na kufaulu kwa kupata Div II ya point 21 (ana C zote) amepangwa kwenda ualim chuo cha Songea kwa masomo ya Maths/ Chem ila yeye...
Wapendwa, naomba kusaidiwa.
1. Chuo cha Mafunzo ya Utalii yanakupa ujuzi gani-expertise? Na baada ya kumaliza kazi za mhitimu (in case ameajiriwa) ni zipi? Day to day activities. Mafunzo...
Tafadhali naomba kufahamishwa kozi hii hapa inahusiana na nini? Hospital operations ndiyo nini? Unafanya kazi wapi? Ajira zake zikoje Tanzania? Unakuwa na utaalamu gani?
Taarifa ya Kuchaguliwa...
Wizara imetoa muongozo kwa ajili ya kuwaongoza wamiliki wa shule zote, yaani za serikali na zisizokuwa za serikali utakaoanza kutumika katika mwaka 2018/2019.
Katika taarifa iliyotolewa na Kaimu...
Kati ya vyuo 100 bora vya Africa.,chuo kikuu cha Dar. Es salaam kimekuwa cha nne kwa ubora wa elimu.
Na kwa Afrika Mashariki kimekuwa cha kwanza. Kikifuatiwa na Makerere.
Hongera maprofesa wa...
Padri akemea ngono UDSM
: 0
Padri Josephat Mosha wa Kanisa Katoliki Parokia ya Changombe mkoani Dar es Salaam, amewataka wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kutambua...
Natamani kufahamu, kuna mdogo wangu alimaliza Form 4. Alipata division 2 ya point 19. Nilitaka asome PCM au PCB lakini selection zimekuja wamemchagua EGM. Na shule anayoenda hakuna hizo tahsusi...
Habarini wadau,
Nina dogo langu alimaliza form 4 mwaka jana na kupata division 1 ya 14, amechagulia chuo cha Kibaha kwa kozi ya Clinical Medicine na Tamisemi.
Swali langu ni kuwa je, kwa hiki...
Habari zenu wanajamii forum, I hope all is well with you.
Nimechaguliwa shule ya Loleza iliyopo Mbeya kwenye tahasusi/combination ya PCB (yaani Physics, Chemistry and Biology) lakini kwa bahati...
Naandika kwa niaba ya wazazi 115 wa watoto wa Pre-form V mwaka 2020 ambapo watoto wanatakiwa kujiunga na form five 24/7/2020 baada ya kumaliza Pre V. Watoto wetu walijiunga na Pre V mnamo tarehe...
Yani jamani nimeingia kwenye pepa leo; kama mnavyojua test zinakuwaga na saa moja tu kuandika tofauti na final exams.
Mimi napendaga kazi iwe nzuri hivyo nina mtindo nikiona nimekatakata naomba...
Message:
This is special for mathematics and things related to mathematics. If you have any quiz in mathematics, just bring it i will help if not me some also can help.
And if you are a teacher...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.