habarini wapendwa wana JF.yapata mwezi au miezi miwili sasa tangu TCU watoe tamko lao rasmi kupitia kitabu chao cha mongozo wa kudahili na kuomba vyuo yaani TCU guidebook kuhusu kuvisimamisha vyuo...
Habari,
Nataka nijiunge na BASIC DRIVING COURSE veta mbeya, kwa anayefahamu gharama zao, au namba ya mwalimu wa udereva wa pale, na pia sample joining form anisaidie please.
Nawasilisha.
Habari zenu wandugu,
Eti ni chuo gani hapa Tanzania waweza soma Computer Science na kuwa competent?
Na je mchomoko wake wa ajira hapa bongo upoje?
Kuna dogo namhaingikia
Regards.
UPADATES 2020
as I am writing know I have been honoured by google developers program from google, to run google developer group(gdg) in a new chapter;called google developer group (GDG)...
Habari,
Nahitaji kujua utaratibu wa mkopo upoje ikiwa utaamua kuPostpone masomo Chuo.
Let's say, unamkopo wa HESLB ambao tayari wamekupa kwa Semesters mbili na unahitaji kuPostpone masomo kwa...
Jamani napenda kuuliza hv mtualiye soma hiyo kozi ya ICT kwa hapa tanzania anafanya kazi sehemu gani na mtu aliye soma mchepuo wa EGM anaweza akaisomea afikapo chuo..sorry vp kibongobongo ajira...
nilikuwa na ndoto za kuwa injinia ila kaka zangu nadhani walinionea wivu wakanidanganya kuwa haina dili bora masomo ya biashara. nikasoma hayo leo wananicheka life imenipiga mpaka nachanganyikiwa.
Hapa Tanzania hakuna mtihani, Mgumu kama wa kidato cha nnehata watu waliokuwa na vyeti feki vilikuwa vya kidato cha 1V hii inaonesha kuwa paper la Four ni balaa na nusu.
Pia Ukiangalia matokeo ya...
Problem Set 1
Use of the Balance Sheet Equation to record transactions and for the preparation of
financial statements
On July 1, 2000, TIM, Inc. started as a business entity. A summary of...
Kwa wale tuliobahatika kusoma hebu weka Definition moja unayoikumbuka iwe ya Form 1, 2, 3 or 4.
Mim naanza na
Microscope - is an instrument used to magnifying small objects.
Ndugu zangu habari za mida.
Ni matumaini yangu kwamba wote ni wazima hasa ukizingatia janga hili lililoikuta dunia.
Niende moja kwa moja kwenye mada mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo...
Habari,
Poleni wakuu na hili janga.
Hivi hizi shule zetu na vyuo watafungua kweli baada hizi siku 30 kuisha.
Na wasipofungua itakuaje mbona system za shule zinabadilika sana.
Sent using Jamii...
Salaam kwenu wanajukwaa ,amani ya mungu wangu iwe nanyi
Leo napenda kuiliza juu ya uwepo wa kozi fupi za IT hapa nchini mwetu
Je zipo!?
Gharama yake ?
Na ubora wake ni upii?
Je naweza kusoma...
Wakuu habarini za muda, naomba msaada kwa mtu ambae anamjua mwalimu au mtaalamu ambae anafundisha physics kwa program ya kutumia CD ikawa na uwezo wa kuangalia kwenye tv basi naomba anijulishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.