KWA MWENYE UZOEFU KUHUSU TOEFEL INTERNET BASED TEST WAKUU, NAOMBA ATOE MAELEZO HAPA MARA MOJA NINA SHIDA, NAHITAJIKA EDIBURGH UNIVERSITY NA HIYO NDIYO SIFA YANGU YA MWISHO NIMEPITA KOTE. NIMEPEWA...
Habari zenu wanajamvi wa jukwaa hili la elimu.
Ningependa niende moja kwa moja kwenye kiini cha swali langu kama kichwa cha hoja kinavyouliza.
Naombeni msaada wenu juu ya faida au/na hasara za...
Itabidi shule za secondary na vyuo kutokuwa na likizo yani tukianza kusoma ni kusoma tu ili kubalance muda unaopotea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wanajamvi,
Nikiwa nipo mapumzikoni huku kanda ya ziwa nikijificha na hii hatari ya corona huko mjini, sasa kuna kadogo hapa kapo form 2, kakaniuliza "Brother wewe si ulisoma Sayansi...
Habarini Wana jf
Naomba msaada jinsi ya kuapply chuo naapply vipi? Na pia nitapataje udhamini wa elimu kwenye vyuo vya hapahapa Tanzania?
Naomba kwa anaeelewa anieleweshe nahitaji na pia...
Naomba kueleweshwa ni kozi gani za master's nzuri kwa aliyesomea degree ua education with Chemistry and Biology, iwe ni ndani au nje ya Tanzania. Ahsante
Habari wadau,
Najaribu kuingia kwenye mfumo wa Selform ili kubadili combination lakini nakwamba
1. Naingia kwenye REGISTER na kujaza vitu vyote ninavyoulizwa kwa usahihi
2. Nakwama pale mfumo...
Kwa kawaida Mwezi March huwa linafunguliwa dirisha la vijana kuomba vyuo. Kuomba huku ndiko huwa kunapelekea vijana kuanza masomo mwezi wa kumi (10). Hii ndiyo huwa MAJOR intake. March imeisha na...
Wakuu habari za huku...
Naomba kwa wenye uzoefu/ waliopitia au waliopo Chuo cha Kleruu kwa sasa/ Monduli teachers nahitaji msaada kuhusu diploma in science with education vipi inatolewa hapo kwa...
Utangulizi
Bioteknolojia ni aina ya teknolojia inayotumia elimu ya biolojia kwa manufaa ya binadamu. Ni teknolojia ya uvumbuzi wa mambo mbalimbali kwa manufaa ya binadamu, kwenye upande wa afya...
Wakuu hekima kwenu,
Naomba mnisaidie kujua tofauti ya hesabu na hisabati maana yanatumikaga kumaanisha kitu kimoja lakini naamini kila moja lina maana yake.
Poleni na majukumu wadau. Nimehitimu chuo kikuu 2013 BSc. Ed. na kwa sasa naplan kurudi kusoma Medicine. Nikiomba mkopo kuna uwezekano wa kupata? Wenye uelewa katika hili naombeni taarifa tafadhali.
Matokeo ya mitihani ya NACTE yanaonyesha kama ilivyo kwenye jedwali lao la matokeo. Maana ya REPEAT ni nini? wakati katika baadhi ya wanafunzi hana somo alilofeli hata moja. Mfano: candidate namba...
Naomba kufahamu usawa uliopo Kati ya postgraduate na degree yaani Kama kunakazi unahitaji kigezo Cha degree alafu Mimi nina postgraduate je naweza kuomba?
Nashauri, serikali ione haja kufanya tathmini ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona na itoe mwongozo mapema ili wazazi/walezi wajiandae mapema ki fedha na kisaikolojia kuhusu watoto wait kurudi shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.