Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habarini wana Jamiiforums, Nina ndugu yangu kasomea diploma ya Uongozi wa Elimu lakini anataka akasome degree. Nauliza: Je, akasomee kozi gani yenye soko? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu wangu, salute kwenu. Sina mengi ila naomba mwenye vitabu vinavyohusu upelelezi au ushushushu anipatie soft copy. Nimeona ni muhimu kuwa na ABC kuhusiana na hii sekta maana dunia...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu natafuta vitabu vinavyotumika kwenye Syllabus ya Sekondari kwa Kidato cha Kwanza. Naomba nijue pa kupata
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakubwa, Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 20. Nilibahatika kusoma na kupata Diploma ya (Ugavi na Uchukuzi) (Procurement & supply Menegement). Niliwahi kubahatika kuajiriwa katika micro...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Nakumbuka tangu nikiwa sekondari, A-levo mpaka chuoni huwa kuna pesa ya tahadhari (caution money) ambayo tuliaminishwa hutumika pale endapo mwanafunzi anaweza akawa amecause damage kwenye property...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari ya majukumu wadau. Kwa wale walimu wanaofundisha medium schools Nawaombeni kama kuna yeyote ana mid-term test au monthly test papers za class six social studies anisaidie. Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Naomba wajuzi mnijuze ni Human Resources (HR) Manager yupi ambaye atakuwa na weledi kati ya HR Manager aliyesoma degree yake Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) au Chuo cha Mzumbe (MU) kulingana...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Watoto wa mijini wanawahi kuelewa mambo mapema. Wanajifunza mambo mengi nyumbani yale ambayo zamani tulijifunzia shule. Nyimbo, kuhesabu, abcd, na a e i o u. Kama haitoshi wanafundishana wenyewe...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu wadau? Ninatafuta mtu anaekijua au anaesoma hapo IJA ninataka nimpeleke ndugu yangu kusoma hapo ila sijapata information za kutosha, naomba unichek hata PM. Ahsante Sent using Jamii...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
pata material mbalimbali ntakuwa na update
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naombeni msaada wa kufahamishwa sehemu ambapo wanaweza kuondoa lamination katika cheti, nimehangaika sana na nahitajika lazima niondoe lamination ili cheti kiweze kuhakikiwa...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari wakuu poleni na majukumu pia hongereni kwa mapunziko ya weekend. Naomba kufahamu ili mtu asajiliwe kuwa private candidate wa form four au six anatakiwa afuate taratibu zipi na awe na...
0 Reactions
3 Replies
38K Views
Habari Nina pass katika Physics, Chemistry, Biology, English, Kiswahil, Geography na Civics kwa Level ya O-level nichuo gani kitanifaa kusomea Diploma ya Clinical Medicine. Sent using Jamii...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mpendwa mwanafunzi, Natumaini kuwa u buheri wa afya, na ni imani yangu kuwa unaendelea vizuri na masomo yako. Kama unaokumbana na changamoto kitaaluma na kijamii pole sana, naomba Mungu...
11 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wana JF, Nina diploma ya Elimu nahitaji kujiendeleza ila nina GPA ya 2.9, nini cha kufanya ndugu zangu ili nifanikiwe? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natumaini mu wazima wa afya, Naombeni ushauri mimi nina leseni daraja A, B, na D niliyo yapata kutokana na uzoefu wa hapa na pale wa kuendesha gari ila siku soma chuo chochote cha udereva (basic...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habarini waungwana, Naomba kuuliza je TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo? Natanguliza shukrani kwa swali hapo juu
3 Reactions
1K Replies
250K Views
Habari wana jukwaa awali ya yote nitoe pongezi kwa wahitimu wote richa ya hali ya maisha kuwa ngumu ila bado tupo tunaish! MZEE AMEBANA KWELI wakuu naomba kujua hatua za kuasajili open school...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Nilipata div 2 ya 18 yaani:- CIV - 'B' HIST - 'B' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'C' BIO - 'B' COMP STUD - 'C' B/MATH - 'D' Niliweka PCB ya kwanza na ya pili na...
5 Reactions
64 Replies
10K Views
Prove that 1.sinA+sinB=2cos (A-B/2)×sin (A+B/2) 2.cos2X=cos^2 X-sin^2 X 3.cos^2 X+sin^2 X =1 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
835 Views
Back
Top Bottom