Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wakuu, Wapi naeza pata ramani, mimi nipo kwenye International NGO nina mahitaji sana na hard copies za Ramani.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wana Jamii Wanafunzi, Walimu, na wana Jamii tukutane hapa tujaribu kuona ukweli upo wapi juu ya utegemezi kati ya mwalimu na mwanafunzi na kwa kukumbushana mwalimu anampa mwanafunzi 25%...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Wana JF chuo gani ni best kwa uhasibu kati ya TIA na CBE naomba tuongee na facts.
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Habari wanajukwaa Nina soft copy ya vitabu kadhaa vya taaluma yangu naomba kuuliza sehemu ambayo naweza print baadhi ya hivyo vitabu niwe na hard copy na gharama yake pia kwa Dsm....Nawasilisha...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kati ya degree tajwa hapo juu ni ipi ina faida kwa upande wa ajira na kujiajiri pia? Na je wanatofautianaje kimajukumu? Na soko lake la ajira serikarini au private sector lipoje kwa kozi zote...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wakuu! Nimeona baadhi ya vyuo wakitoa evening program kwa Diploma za Nurse course, hivi kuna chuo kinachotoa Clinical Medicine kwa Evening program pia?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nataka kujua prosess ya kutuma fees chuo huko india njia zake unafanyaje na kupitia benk ipi pls. Mwenye kujua anaeleweshe Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni swali nimeulizwa leo na mgeni anaetafuta opportunity ya kufanya social enterprise related activities hapa nchini kwetu. Kwanza haelewi ni kwa nini category ya social enterprise entities haipo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu,,,Nimeamua kuanzisha Thread hii mahususi kwa Wanafunzi tulio chuo cha SAUT Main campus Malimbe Mwanza,,Lengo ni kuelezea kujadili maendeleo ya chuo chetu,Kupeana mbinu za hapa na...
2 Reactions
22 Replies
6K Views
Habari, Naulizia mtu anayejiandaa na mitihani ya CFA steji ya kwanza itakayofanyika mwezi wa sita, 2020. Nimuulize mambo mawili matatu. Vizuri akiwa Dar.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mitazamo ya wananchi kuhusu elimu bure imebadilika kwa kiasi kikubwa ndani ya miaka 12 iliyopita: mwaka 2005, zaidi ya nusu ya wananchi (56%) walisema kuwa ‘ni bora elimu itolewe bure kwa watoto...
0 Reactions
2 Replies
805 Views
Hajui na ameniuliza hata mimi sijui hii kozi kazi zake ni zipi na ataenda kufanya wapi. Sijui akimaliza kozi atakuwa nani (aina gani ya kazi au post). Je, serikalini ina soko hii kozi kwa diploma...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Kalamu ya Baba Askofu Bagonza (PhD) . ELIMU YETU Inafuta Ujinga, Haiongezi Maarifa Duh!! Tanzania yetu inaumwa. Pole sana. Habari mbaya kila wakati. Taifa linaumwa sana. Tuliona Samunge...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi kuna uwezekano wa kupata mkopo kutoka serikalin wa kwenda kusomea degree ya MD ukiwa na diploma ya CO baada ya kuimaliza? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari, Jamani natafuta Shule ya bweni ya Watoto wadogo kuanzia miaka 3. Napendelea zaidi iwepo Dar au Pwani. Ni muhimu Sana. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninasikitika kuona Chama chetu kinashindwa kusimamia haki za upandishwaji madaraja kwa walimu kwa kufuata haki. Waliopewa dhamana ya kusimamia upandisha madaraja sijui ni kwa maksudi au bahati...
2 Reactions
19 Replies
5K Views
Habari za wakati huu wakuu, Mm nimesomea fani ya development finance and investment planning katika level ya degree. Naombeni ushauri hii fani inakua na soko sana katika maeneo gani...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Chiefs! Msaada please! Maktaba ya TETEA hawajaweka bado!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa utaratibu mpya wa NACTE kwamba ukimaliza kusoma form 4 unachukua cheti NTA level 4 au NTA level 5 na form six unaanza NTA level 6 au NTA level 7 au NTA level 8 Sasa kwa mwalimu mwenye cheti...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Kama heading inavyojieleza huu uzi ni mahususi kwa JF members wote waliosoma BWMHS Nawakalibisha wote tuliomaliza shuleni hapo tuje humu tubadilishane mawazo.. Karibuni sana EDUCATION IS LIVING
4 Reactions
241 Replies
23K Views
Back
Top Bottom