Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Sorry waungwana Niko nasoma chuo taasisi ya uhasibu DSM campus , lakini pamoja na hivo nimebahatika kupata kazi sehem so kulingana na hali halisi ya kimaisha nataka nisiache chuo nataka nisome...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hivi umeshawahi kujiuliza kama inawezekana kusomea Udaktari kuanzia primary School hadi chuo kikuu? Kitu hiki kinawezekana kweli? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu Wana JF Habari zenu, tafadhali naomba nisaidiwe orodha ya Sekondari mkoa wa Katavi ikiwezekana na viwango vya ufaulu matokeo kidato cha IV 2019.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Napenda kuwakaribisha wote wenye mpango wa kufanya mitihani ya bodi ya ugavi mwaka huu lengo likiwa ni: - Kupeana uzoefu - Kufahamiana - Kujadiliana - Kupeana mbinu - Kupeana connection Na yale...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau nimeikuta sehemu. Sisi huku kwa mkoloni ndiyo kumekucha. Wahusika fikisheni ujumbe kwa Alumni wenu. Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Professor Lughano Kusiluka amewaomba Alumni kuja na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu habari za muda huu. Leo ningependa tushirikishane kwa wale wenye uzoefu wa kusoma abroad. Hivi ili upate Visa ya kwenda kupiga kitabu Marekani unapaswa ufanyeje? Maana nataka nikapige...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Mimi King Ngwaba Nimehitimu masomo ya Kidato cha 4 (From IV) mwaka 2019 hapa JANGALO SECONDARY SCHOOL na kuambulia bonge la Mzunguko yani Sifuri. Matokeo yangu ni ↓↓ CIV - 'F' HIST - 'F' GEO -...
0 Reactions
3 Replies
845 Views
Wadau ushauri wenu muhimu sana Jana NACTE wametoa matokeo ya walio pangiwa vyuo lakini nimekosa kupangiwa [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] Sasa naomba ushauri ndugu zangu nataka nikasome...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Jaman wana JamiiForums naombeni msaada wa kupata qualification za chuo cha diplomasia kilichopo Kurasini, Dar es Salaam. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Nipo likizo tunafungua chuo mwezi wa tatu. Nilianza chuo kwa shamra sana na nguvu za kusoma lakini baadaye hali ilibadilika ghafla ya kukata tamaa na kuendelea kusoma lakini licha ya kuwa ivyo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajamvi, naomba kama kichwa kinavyojieleza hapo juu! Yeyote anayejua chuo hapa Tanzania wanachofundisha course ya Big Data analysis au Advanced Excel naomba unijuze tafadhali
1 Reactions
11 Replies
4K Views
1. Omari Mtiga 2. Robert (jina la ubini nimelisahau - mweupe mrefu) 3. Ulimboka Stephen (kawa kiongozi wa mgomo wa madokta!)
5 Reactions
300 Replies
67K Views
Habarini ndugu zangu, Nahitaji kufungua tuition centre yangu kubwa katika mkoa wangu, ili nisaidie jamii yangu. Hebu nisaidieni mawazo, changamoto zake ni zipi? Na mahitaji ni Yepi?
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Sababu ya kubwa ya kubadili ni kwa sababu nimejiajiri mwenyewe katika biashara mbalimbali. Hivyo naona kuendesha bila ya kuwa na elimu ya biashara nahisi kama kuna vitu nakosea sababu nina update...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
"And he [Hiram] made a molten sea, ten cubits from the one rim to the other it was round all about, and...a line of thirty cubits did compass it round about....And it was an hand breadth...
0 Reactions
2 Replies
911 Views
How To Be More Assertive Andrew, Ida Jaribu article series no.4 3 min read I learned to be assertive from my mother. She always expresses her feelings, is comfortable with saying no, acts in...
1 Reactions
0 Replies
498 Views
Mliosoma university of Iringa VP Kitabu pale kipoje? Mazingira kwa usomaji yapoje tujuzane. Je, kuna vimbweta vya kutosha? Vyumba vya kupanga ni shilingi ngapi hasa jirani na Chuo? Tujuzeni jamani
1 Reactions
41 Replies
8K Views
Habar wanajf? Naombeni msaada wa ushauri kuna mwanafunzi wa mwaka wa mwisho au tatu ( 3) muhula wa tano amesimamishwa masomo ambapo anatakiwa aingie muhula wa sita(6) kutokana na kosa la maadili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kalamu ya Baba Askofu Bagonza (PhD) . ELIMU YETU Inafuta Ujinga, Haiongezi Maarifa Duh!! Tanzania yetu inaumwa. Pole sana. Habari mbaya kila wakati. Taifa linaumwa sana. Tuliona Samunge...
0 Reactions
1 Replies
701 Views
Back
Top Bottom